Kuna kuolewa hapa kweli?

Kuna kuolewa hapa kweli?

Now it's your time kuuza kwa bei ya jumla maana huyo alikuwa mteja wa reja reja.

Wateja wa saizi wape na pua na masikio kama offer
 
Sio mume wa mtu, maana hapa nipo nyumbani kwake, au unataka kusema ananyumba 2? Nina uhakika sio kabisa maana hapa nimeshakaa week ya 3 sasa na yupo kila siku
Hivi wew mwanamke unatujua vizuri wanaume au unatusikia kukaa nae wiki tatu ndo unajiaminisha hana familia kweli wewe akili zako zilitokea huko unapofukuliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: amu
Hatuna la kufanya tena huu mchezo ushakua nomaa
.
Nilimskia mdada anasema siku hizi Mwanaume KY sio Magari tena, Ukiwa na KY Wewe ndio Jembe

.
Mtoa Mada No way ukubali tuu hilo ndio Danga lako mpaka kufa FOREVER DANGA
Jichanganye umuache
 
Lipia tangazo mkuu hiyo tigo ina wateja sana humu utawapata tu soon
 
Pole ...hivi kwanini mnakua desperate na ndoa kiasi hiki ?
Lakufanya fuata ushauri wa wana mmu hutajutia my dear bado unamuda
Kuhusu mtandao pendwa hivi ulimshawishi au alikushawishi kufanya
 
Pole ...hivi kwanini mnakua desperate na ndoa kiasi hiki ?
Lakufanya fuata ushauri wa wana mmu hutajutia my dear bado unamuda
Kuhusu mtandao pendwa hivi ulimshawishi au alikushawishi kufanya
Assante sana. Ushauri naufanyia kazi. Nimefunga sana mawazo leo.
Mhh acha tu nilikuwa nimelewa ndugu
 
Ni mbaba maana umri wake umeenda sana, yaani sio kijana mdogo. Lakini kwangu ni bf wangu
Nyie ndo mnafanyaje wanawake tunadharauliwa na wanaume.
Ushafanya ujinga wako si ubaki nao moyoni?
Kama ni biashara ungeongea kwenye mitandao ya kipuuzi mingine ila sio jf. Hivi unajua Jf kuna watu wenye umri kama wa wazazi wako? Hili inalijua?
 
Una hasira,una chuki juu ya wanawake kwa nini kosa la mmoja ujumlishe wote.
kosa gan kafanya ?!

Huyo si anatoa tigo kwaajili ya kupendwa ??


Au unajivunga Mkuu?.


Nimesema mambo matatu hapo... Kama haupo kwenye moja, utakua kwenye lapili, kama haupo lapili, utakua latatu..... Nani anajua masuala ya ndani???? ( tena huyu mpaka anaandika basi kajitutumua , wengi wenu hamsemi na mnafanya )


Kama haupo ktk hayo yote, basi shukuru.


Vyovyote utakavyonichukulia poa !!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom