Kuna kuolewa hapa kweli?

Kuna kuolewa hapa kweli?

Asante pia
Hata mbingu yakushangaa ,,,,,,haikushangai kutoa mkun** bali yashangaa kuona hujatambua kuwa huyo hahitaji kabisa kuoa kwa 100%issue y matako wengi wenu huwa mnatupa kiroho safi n tukitaka kuwaacha mnabaki kukondeana ukiulizwa unakosa nn utasiia basi tu mi naumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unapoteza muda wako kumshauri mtu anayetafuta soko hapa jf? Kiufupi maisha yamekuwa magumu baada ya shughuli nyingi za kiuchumi kusimamia,so huyu shoga anatafuta soko maana pesa mtaani haipo na watu wanashinda wamejifungia ndani
Kiswahili kinanisumbua anyways. You as a woman you set standards of how a man will treat you. What you allow is what will continue. Kama siku ya kwanza ulimpa ili kumfurahisha ndo uliaribu hapo. Sasa we endelea tu. Ikiwezekana akuoe kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ki ukweli nimemchoka huyu BF wangu, yeye hawezi fanya mapenzi bila kunila choo, ananiudhi sana.

Nimechoka kwa kweli, mwanzo nilikuwa naona poa na nilikuwa naenjoy ila sasa wala sifurahi tena, nikimnyima tu ni ugomvi mkubwa yani, ki ukweli nataka kumuacha maana huu mchezo umenichosha.

Huyu mtu ni katili sana na ananitishia. Nalifanyaje hili baba jamani?
@Sky Eclat
Khantwe
Depal
Sakayo
Evelyn Salt
Mama rebeca
Joanah
 
Kama wewe ni Mwanamke nakuambia huyo Hawez kukuoa kabisa apo sahau anakutumia tu kwanza hamna mwanaume anae jielewa anaweza mfanyia mwanamke anae mpenda huo upuunzi na ushetani
haki hili baba linavisa, siku nitahadithia humu, ila tu nimechoka kwa kweli
 
Back
Top Bottom