PuraVida_Fire
Senior Member
- Apr 21, 2020
- 148
- 86
- Thread starter
- #221
Tangazo la nini sasa? Duh watu mpoje?Lipia Tangazo..
Tangazo la nini sasa? Duh watu mpoje?Lipia Tangazo..
Mhh wewe waonekana mtatifu sana. Ubarikiwe.
Sihitaji mtu yoyote yule humu. Nilikuwa naeleza shida yangu naona watu mmekariri sana jamani kha!
Yaan unavyojibu kama punga vile...... Usikimbilie kuniqoute kwenye comment yangu..... Unadhani wewe ndio unanguvu za kiume tu....... Wakati mwingine jiheshimu.Tunajua kugegeda na kuzibua mitaro sii unaona huyo kanogewa.... Chezea mwanaume fundi wakutoa utamu wewe
Then majibu unayoNishaleta sana hizo mada ila anachenga chenga. Kwa kweli naona nikikaa sawa kiuchumi nammwaga. Ila hili libaba nilikorofi sana yaani natafuta mbinu. Hata ninapokaa nihame kabisa
mkuu huyu sio boyfriend ni grandpafriend, heshimu neno boyfriend.Nina huyu Bf wangu tuna muda mrefu pamoja, yeye umri umeenda kidogo maana ni 40+
Nimesema mara ngapi humu kwamba sikubaliani naye tena??? Na ananuna? Nilichoamini toka nimeanza mgomo huo ni kuwa tunaweza kufanya mambo kawaida tu. Na tukaoana. Sasa ndio naomba ushauri kama kuna dalili ya ndoa ili kama hamna nimuache jumla. Mpaka sasa kwa kweli msimamo wangu umedilika kabisa. Nawashukkuru wote walioshauri humuJana umetoka kusema kuwa unataka kumuacha,leo unauliza kama atakuoa!
endelea kujituma tu,ukiambatanisha na picha itapendeza.
Aondoke basi akaitunze tunze labda... Ah kwani ile kitu nayo ni elastic? Sijasoma mimi babe![]()



jinga sana weweSijaelewa ndogo ndio nini, kama wamaanisha bangi jibu ni hapa
Duh! sawa, asante pia. Ila amini mimi sina tatizo hilo na sitaki mtu wala sina lengo hilo. Lakini kama hii inaonekana hivyo kwako nitafanyaje? Basi nifute hii post? Maana kama ushauri nishapata. AsanteniKuna mwenzako mmoja(kama si wewe) aliandikaga humu anashikwa na nyegez za mkundunii mpaka anahonga na kujitia mavitu huko.
Mshenzi wewe umefanya mpaka nitumie maneno makali.
Ninahisi umeshikwa na nyegez za huko huna wa kukutoa unahangaika.
Usijali watajazana kibao inbox wala mavi.
Lakini na wao jua watakula na kusepa.
Huoneshi hata chembe ya kujutia.
Nimekuja kwa kipindi tu sababu sina kazi sasa ila sio kwamba nakaaga hapa muda wote
Duh! sawa, asante pia. Ila amini mimi sina tatizo hilo na sitaki mtu wala sina lengo hilo. Lakini kama hii inaonekana hivyo kwako nitafanyaje? Basi nifute hii post? Maana kama ushauri nishapata. Asanteni
Watataka kum-sodomize? DuhKuna wapuuzi watamuendea pm.
Nakuambia wengi sana.
Na hili ndo lengo lake
Achana na huyo mbaba sasaMimi ni mdada ninayekaribia 30
So bikra ya mbele isharudi....????wanawake n mama zetu ila n wapuuzi sana ninyiWakuu habari zenu humu,
Nina huyu Bf wangu tuna muda mrefu pamoja, yeye umri umeenda kidogo maana ni 40+ na mimi nakaribia 30. Nilimpenda huyu baba sana naye alinipenda na nilijua atanioa. Basi nikimpa mapenzi motomoto, nilijituma kweli kweli, yaani kwenye 6x6 nilihakikisha anaridhika kabisaa, na hapa ndio nikajikuta nampenda mpaka nikakubali kuliwa mpaka michezo ya nyuma na anapenda sana hayo mambo, sikuona shida maana nilijua ndio mume wangu huyu.
Sasa tupo pamoja huu mwaka 3, sioni dalili yoyote ile, hata kwao hajanipeleka zaidi ya kuwa namjua kaka ake mmoja tu. Mama yake yupo ila baba yake alishakufa. Hata nikijisemesha semesha kuhusu future yetu wala hachangii sana na atabidili mada fasta. Sasa mimi nimechoka kwa kweli, zaidi naona ananitumia tu na hiki kupindi cha Corona basi nakoma mimi, (maana kwa sasa sina kazi kwa hiyo nipo hapa kwake kwa muda huku naangalia michongo mingine) maana bar haendi tena basi akirudi tu nyumbani yaani yeye anataka tu mapenzi tu, kabla hatujala, baada ya kula, tukiwa tunaangalia movie, yaani kifupi muda wote yeye anataka tufanye tu na huo mchezo wake wa nyuma ndio nachoka kabisa.
Ki ukweli nimeanza kuchoka haya maisha na ukimnyima mchezo ni ugomvi au kununiwa haswa. Sasa nawaza tu huyu mtu atanioa kweli ama ananitumia tu hapa? Natamani kumuuliza ila naona kama ataniona labda nampendea ndoa tu, ile je yeye anavyonitumia ni sawa? nimechoka jamani.
Naombeni ushauri jamani