Kuna kuolewa hapa kweli?

Kuna kuolewa hapa kweli?

Mkuu hio kumpa tiGo na wewe si una enjoy siku hizi,, so unahofu ukitoka hapo nani huko nje atakula tiGo..??

BUT hapo hakuna ndoa, 40+ lazima atakuwa kaacha familia somewhere.

Kaa tulia, Mchune mkwanja wa kuanzia maisha mbele ya safari then ondoka.
Thank me later
 
Profile inaonyesha umejiunga jana....but i can tell una ID kongwe, hii ni ya kutuletea janga lako hili.
Mdogo wangu kwa umri ulo nao late 20s upo desparate kuolewa na huyo "mbaba boyfriend " kesha kusoma so anatumia desperation yako kukutumia na kukuharibu kwasabu huna akili.
Huna akili ulifikiri kutoa nyuma ndo ticket ya ndoa? Ulifikiri playing wifey na kuishi nae ndo atakuoa?
Pole sana ila hatakuoa....Narudia tena HATAKUOA.
Na kama una akili hata chache zilizobakia kusanya vyako ondoka na usigeuke nyuma. Ukikaa zaidi ataendelea kukuharibu ukijashtuka utakua huna breki nyuma na siku ataleta binti fresh anaejielewa akutimue wewe ukiwa ushaoza hufai kuolewa hata kwa mahari ya kilo ya sukari.
Halafu ye mwenyewe ana walakini mtu wa 40+ hajaoa???Umemchunguza vizuri kweli?Hajaacha familia kijijini huyo? Mlipima afya kweli???
Naogopa kwa ajili yako mdogo wangu...pack your stuff and leave it's not late to start over.



Sent using Jamii Forums mobile app

Nimeumia ila asante. Hana familia wala, afya nilipima mimi mwaka jana mwishoni hakuna shida. Wacha niwaze upya mhh
 
Nimesoma bandiko lako mshidede umeinuka kwa kasi ya 5G. Check PM kuna issue nataka tuongee faragha
 
Sasa atafanyaje? 😂😂😂 katumika miaka 3 mbaya zaidi katoa mpaka visivyotakiwa kutolewa then akishatoka hapo nani atakula makombo?
Wanaume wenyewe hawa siku hizi wanajishaua wanatakamo na bikra
Nilikosea toka mwanzo. Mhh naona dalili ya ndoa ni ndogo kwa maoni haya ya humu Jf
 
labda ana mawazo na corona then we unawaza kuolewa olewa tu subiri janga hili liishe ,kwani u womens huwa mnakwama wapi lakini ,, Utakuta mpo kwenye serious issue ambayo inahatarisha maisha ye anasema mara nikiss nikumbatie .........we utaolewa subir

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hio kumpa tiGo na wewe si una enjoy siku hizi,, so unahofu ukitoka hapo nani huko nje atakula tiGo..??

BUT hapo hakuna ndoa, 40+ lazima atakuwa kaacha familia somewhere.

Kaa tulia, Mchune mkwanja wa kuanzia maisha mbele ya safari then ondoka.
Thank me later
Sikuenjoy wala ila yeye naona ana enjoy zaidi na ndio maana nikimnyima ananinua haswa, woii sitajali aisee. kwa maoni haya naendelea na msimamo wangu, maisha haya nakata tamaa kabisa
 
Unaitaji ndoa hauna marinda ..subiri ndoa za mitara


It is never to late to begin. Start now
 
Mwanaume yeyote anayekuomba kufanya huo mchezo kinyume na maumbile anakuwa ameshakuona wewe si muolewaji.
Siku ya kwanza nilikuwa nimelewa kwa hiyo alivyonipata hapo, tulipokuja tena kufanya akaendelea japo sikuwa nataka ila ikabidi tu nimuachie tu. Mapenzi ni upofu mwee
 
Back
Top Bottom