Profile inaonyesha umejiunga jana....but i can tell una ID kongwe, hii ni ya kutuletea janga lako hili.
Mdogo wangu kwa umri ulo nao late 20s upo desparate kuolewa na huyo "mbaba boyfriend " kesha kusoma so anatumia desperation yako kukutumia na kukuharibu kwasabu huna akili.
Huna akili ulifikiri kutoa nyuma ndo ticket ya ndoa? Ulifikiri playing wifey na kuishi nae ndo atakuoa?
Pole sana ila hatakuoa....Narudia tena HATAKUOA.
Na kama una akili hata chache zilizobakia kusanya vyako ondoka na usigeuke nyuma. Ukikaa zaidi ataendelea kukuharibu ukijashtuka utakua huna breki nyuma na siku ataleta binti fresh anaejielewa akutimue wewe ukiwa ushaoza hufai kuolewa hata kwa mahari ya kilo ya sukari.
Halafu ye mwenyewe ana walakini mtu wa 40+ hajaoa???Umemchunguza vizuri kweli?Hajaacha familia kijijini huyo? Mlipima afya kweli???
Naogopa kwa ajili yako mdogo wangu...pack your stuff and leave it's not late to start over.
Sent using
Jamii Forums mobile app