PuraVida_Fire
Senior Member
- Apr 21, 2020
- 148
- 86
- Thread starter
- #101
Pombe ziliniponza
Jiheshimu we kakaNimesoma bandiko lako mshidede umeinuka kwa kasi ya 5G. Check PM kuna issue nataka tuongee faragha
Siku ya kwanza nilikuwa nimelewa kwa hiyo alivyonipata hapo, tulipokuja tena kufanya akaendelea japo sikuwa nataka ila ikabidi tu nimuachie tu. Mapenzi ni upofu mwee
Ndo fanya uondoke kwani huna kwenu?Ni kweli ila kama nilikosea sasa ndio narekebisha na hata hayo mambo siku hizi namyima. Shida ni sioni kama kuna future hapa
Asante sanaPole, hilo limeshatokea.
Fata ushauri ambao unaona ni sahihi kutoka kwa wadau.
tulipokuja tena kufanya akaendelea japo sikuwa nataka ila ikabidi tu nimuachie tu. Mapenzi ni upofu mwee
Nina kwangu, sema kazi ndio nimeacha na kuna moja nafuatulia sehemu, sema na hii Corona duh. Sasa kuondoka tu ghafla ndio nawaza nitaishi vipi kupindi hichi sina kazi. Yaani najifikiria haswaa
Sawa, asantehuo upofu ndio utamu wenyewe,, shituka ondoka haraka
AiseeeSiku ya kwanza nilikuwa nimelewa kwa hiyo alivyonipata hapo, tulipokuja tena kufanya akaendelea japo sikuwa nataka ila ikabidi tu nimuachie tu. Mapenzi ni upofu mwee


. Pole sana kwa kuchezewaSawa, ndio maana nasema nimechokaMwanamke mwenye akili timamu hawezi kumruhusu mwanaume amwingilie matakoni.
Mwanaume mwenye akili timamu hawezi kumwingilia mpenzi wake matakoni.
Unajua namaanisha nini hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mambo mengi yanaingilia kati ndugu, sema sasa hivi simpi hata anunr vipiMbona inaonekana bado unafuraia huo mchezo? Kama umechoka km unavosema chukua hatua acha kujifariji anakutisha na lipi hasa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unapenda kuendelea kufanywa nyuma? Bora uende kwenu au kwa ndugu yakoNina kwangu, sema kazi ndio nimeacha na kuna moja nafuatulia sehemu, sema na hii Corona duh. Sasa kuondoka tu ghafla ndio nawaza nitaishi vipi kupindi hichi sina kazi. Yaani najifikiria haswaa
Sasa atafanyaje?katumika miaka 3 mbaya zaidi katoa mpaka visivyotakiwa kutolewa then akishatoka hapo nani atakula makombo?
Wanaume wenyewe hawa siku hizi wanajishaua wanatakamo na bikra


kwahiyo hapo ndio kashayakanyaga na kutoka hawezi? No way bado anayo nafasi bhanakwa umri huo alionao jaribu kuchunguza itakuwa alishawahi kuwa ndoa miaka ya nyuma.Wakuu habari zenu humu,
Nina huyu Bf wangu tuna muda mrefu pamoja, yeye umri umeenda kidogo maana ni 40+ na mimi nakaribia 30. Nilimpenda huyu baba sana naye alinipenda na nilijua atanioa. Basi nikimpa mapenzi motomoto, nilijituma kweli kweli, yaani kwenye 6x6 nilihakikisha anaridhika kabisaa, na hapa ndio nikajikuta nampenda mpaka nikakubali kuliwa mpaka michezo ya nyuma na anapenda sana hayo mambo, sikuona shida maana nilijua ndio mume wangu huyu.
Sasa tupo pamoja huu mwaka 3, sioni dalili yoyote ile, hata kwao hajanipeleka zaidi ya kuwa namjua kaka ake mmoja tu. Mama yake yupo ila baba yake alishakufa. Hata nikijisemesha semesha kuhusu future yetu wala hachangii sana na atabidili mada fasta. Sasa mimi nimechoka kwa kweli, zaidi naona ananitumia tu na hiki kupindi cha Corona basi nakoma mimi, (maana kwa sasa sina kazi kwa hiyo nipo hapa kwake kwa muda huku naangalia michongo mingine) maana bar haendi tena basi akirudi tu nyumbani yaani yeye anataka tu mapenzi tu, kabla hatujala, baada ya kula, tukiwa tunaangalia movie, yaani kifupi muda wote yeye anataka tufanye tu na huo mchezo wake wa nyuma ndio nachoka kabisa.
Ki ukweli nimeanza kuchoka haya maisha na ukimnyima mchezo ni ugomvi au kununiwa haswa. Sasa nawaza tu huyu mtu atanioa kweli ama ananitumia tu hapa? Natamani kumuuliza ila naona kama ataniona labda nampendea ndoa tu, ile je yeye anavyonitumia ni sawa? nimechoka jamani.
Naombeni ushauri jamani
Hapo hakuna jipya, jiongezeWakuu habari zenu humu,
Nina huyu Bf wangu tuna muda mrefu pamoja, yeye umri umeenda kidogo maana ni 40+ na mimi nakaribia 30. Nilimpenda huyu baba sana naye alinipenda na nilijua atanioa. Basi nikimpa mapenzi motomoto, nilijituma kweli kweli, yaani kwenye 6x6 nilihakikisha anaridhika kabisaa, na hapa ndio nikajikuta nampenda mpaka nikakubali kuliwa mpaka michezo ya nyuma na anapenda sana hayo mambo, sikuona shida maana nilijua ndio mume wangu huyu.
Sasa tupo pamoja huu mwaka 3, sioni dalili yoyote ile, hata kwao hajanipeleka zaidi ya kuwa namjua kaka ake mmoja tu. Mama yake yupo ila baba yake alishakufa. Hata nikijisemesha semesha kuhusu future yetu wala hachangii sana na atabidili mada fasta. Sasa mimi nimechoka kwa kweli, zaidi naona ananitumia tu na hiki kupindi cha Corona basi nakoma mimi, (maana kwa sasa sina kazi kwa hiyo nipo hapa kwake kwa muda huku naangalia michongo mingine) maana bar haendi tena basi akirudi tu nyumbani yaani yeye anataka tu mapenzi tu, kabla hatujala, baada ya kula, tukiwa tunaangalia movie, yaani kifupi muda wote yeye anataka tufanye tu na huo mchezo wake wa nyuma ndio nachoka kabisa.
Ki ukweli nimeanza kuchoka haya maisha na ukimnyima mchezo ni ugomvi au kununiwa haswa. Sasa nawaza tu huyu mtu atanioa kweli ama ananitumia tu hapa? Natamani kumuuliza ila naona kama ataniona labda nampendea ndoa tu, ile je yeye anavyonitumia ni sawa? nimechoka jamani.
Naombeni ushauri jamani
Hujitambui,hujiamini naamini huyo Mwanaume amegundua udhaifu wako na anakuchezea. UNina kwangu, sema kazi ndio nimeacha na kuna moja nafuatulia sehemu, sema na hii Corona duh. Sasa kuondoka tu ghafla ndio nawaza nitaishi vipi kupindi hichi sina kazi. Yaani najifikiria haswaa
Hapo huwezi kuolewa, we nenda zako tu, huyo mwanaume angekuwa anajielewa asinge kukula mgongo.Ki ukweli najuta, na nimeanza kumnyima pia. Ndoa ipo hapa kweli?