My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,603
- 11,883
Mnayoyafanya ni chukizo mbele ya Mungu, badilika na ikiwezekana achana na huyo mtu uanze mwanzo mpya ukiwa na nia thabiti kabisa ya kuacha huo uovu, na Mungu atakusaidia.Ki ukweli nimemchoka huyu BF wangu, yeye hawezi fanya mapenzi bila kunila choo, ananiudhi sana.
Nimechoka kwa kweli, mwanzo nilikuwa naona poa na nilikuwa naenjoy ila sasa wala sifurahi tena, nikimnyima tu ni ugomvi mkubwa yani, ki ukweli nataka kumuacha maana huu mchezo umenichosha.
Huyu mtu ni katili sana na ananitishia. Nalifanyaje hili baba jamani?
Tatizo nilikuwa nawaza ndoa tu. Mengine nishaacha mkuu.Mnayoyafanya ni chukizo mbele ya Mungu, badilika na ikiwezekana achana na huyo mtu uanze mwanzo mpya ukiwa na nia thabiti kabisa ya kuacha huo uovu, na Mungu atakusaidia.
Nyeupe tuseme Nyeupe.....Nyeusi tuseme nyeusi.
Umeona sasa, ndo maana nmemwambia mwenzako hapo juu Hawachi asijivunge.iko napenda ila jicho hapana asee
Haaahaaamkuu huyu sio boyfriend ni grandpafriend, heshimu neno boyfriend.


eti grandpafriend

Umeona sasa, ndo maana nmemwambia mwenzako hapo juu Hawachi asijivunge.
Kua kama hatoi tigo... Anapenda kulambwa Kisimi ..kama hapendi kulambwa Kisimi..anapenda kulambwa Tgo/Kuingiziwa kidole tgoni...kama yote hafanyi basi ajipongeze.
Yaan mnachotofautiana ni aina ya burudani mnayotoa au kupokea.
Ila kwa kuzingatia matokeo ya chochote unachofanya...huo wote ni UTOPOLO Mkuu Surbi
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee usinambieHuwa wanafiwa ila mara moja moja..now days n wanawake wachache sana wasiotoa operamini
Sent using Jamii Forums mobile app

Aisee asante sana🙏🏿🙏🏿Pole Dada ila naomba niseme kitu hapa hasa kwa akina Dada,
Jamani ukiwa na mtu wako epuka sana tabia ya kuhamia nyumbani kwa mwanaume na ukaanza kujihisi ni mama mwenye nyumba epukeni sana....
Huwa nafika pahala napata hasira kwasababu inafika wakati mtu wako sahihi katika maisha yako unamkosa si kwasababu haujui ni kwasababu umeweka nguvu kubwa tena kwa mwanaume asiyetambulika popote.....
Dada naamini bado nafasi unayo ya kubadili changamoto unazozipitia kuwa neema na amani kwako na kwa yeyote pia, kuwa na msimamo na mtengenezee mazingira ambayo yatakufanya aamini wewe ni bora kwake tena mara Elfu au zaidi ya hapo, pia muwekee mazingira ambayo ataamini kuwa unaweza ishi bila yeye.....
Mimi naamini hasa vijana tunawajibu wakuzilinda heshima tulizo nazo hasa kwa akina Dada, kuna katabia ka sisi wanaume baadhi, kachafu sana kuwa na mwanamke ndani ambaye hutaki kumuweka wazi zaidi unamfanya utakavyo unamkunja utakavyo na kumfanya kuwa chombo cha starehe huku mwenye malengo naye ukimficha pembeni
Dada pole, ila naamini unaweza rekebisha na kubadili stori yako ya maisha kwasasa.... Usiogope kuanza upya
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaNingependa ningelalamika? Umesoma toka mwanzo? Kwake nitaondoka kuna vitu naweka sawa. Na nitamuachana naye kabisa.
kama umeshayaacha sawa, sasa bado una muda kwa huo umri wako haujachelewa, utapata tu mwengine ila cha msingi tafuta shughuri yako ya kufanya ili usiwe tegemezi kwa mwanaume, maana unaweza ukajikuta unarudi huko huko tena.Tatizo nilikuwa nawaza ndoa tu. Mengine nishaacha mkuu.
Asante🙏🏿kama umeshayaacha sawa, sasa bado una muda kwachuo umri wako haujachelewa, utapata tu mwengine ila cha msingi tafuta shughuri yako ya kufanya ili usiwe tegemezi kwa mwanaume, maana unaweza ukajikuta unarudi huko huko tena.

Sioni dalili hizo kwa sasaHuo umri mbona upo sawa tu, ww ulitaka mlingane? Tulia uolewe, na uongeze kaufundi kwa mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anafamilia hahitaji hata umzalie zaidi ya kuwa sex toyNi mbaba maana umri wake umeenda sana, yaani sio kijana mdogo. Lakini kwangu ni bf wangu
Pole dada angu huyo jamaa (shekilage mdogo) inaonekana amejua unashida sana ya ndoa kuliko yeye alivyodesperate nayo,
pia kuhamia kwake ni udhaifu wako asilimia 93% ya wanawake wanaoenda kuishi na wanaume kabla ya ndoa huwa hawaolewi why uliamua kuhamia kwake?? Utasema ni ugumu wa maisha but umesema pia ulikuwa na kazi je ulijiwekea akiba? na je pesa ndogo ndogo anazokupa huyo mjinga unazihifadhi?
Endapo huyo mwanaume akifa utaishije mkuu yani utakuwa masikini na atakuwa amekuharibu zaidi dada angu,.....you still have time to change sisi wanaume tunapenda mke mstaarabu ambaye hata mashkaji wakija home unakuwa comfortable, huyo mjinga hawezi kukupa heshima ya ndoa sababu tayari anahisi wewe Malaya sababu ya kumpa hapo.....
It's not too late dada angu anza kujiwekea akiba, jitahidi upunguze gharama za maisha, kuna mawazo ya biashara ndogo, jitahidi mkuu uyapitie....ke nimeumia sana you seem a nice person achana na hizo stunts za watu wengine muda wa kubadilika upo ila ndoa hapo haipo.....
Fungua akili become independent mbona kuna wanawake humu wapo hadi 40+ hawajaolewa ila ukifika kwao unashangaa jinsi wanavyojishughulisha kwenye shughuli ndogo ndogo.....
Amua kuishi mwenyewe kwamuda ujifikirie na ufikirie your youngs nyumbani, wewe bado mdogo unamuda wa kuanzisha kitu chochote ukatoboa dada angu
Lastly Mungu akupiganie kwakweli na akupe moyo wa kupita hiki kipindi kigumu, maana ndio hard path yako 1yohana 2:19 inasema "Walikuja kwetu lakini hawakuwa wakwetu maana wangekuwa wakwetu wangebaki nasisi lakini waliondoka ili wafunuliwe kuwa hawakuwa wakwetu"
huyo mwanaume alitekuja kwako kukugeuza mgongo sio wakwako japo anakaa nawewe, jifunze kuondoka na kuishi maisha yenye purpose mkuu hivi kweli ufe masikini na fedha uzikose au ndoa ukose na nyuma uharibike kabisa kweli unataka kufikia huko?.....achana na mambo ya ndoa yatakupotezea muda tu kama mtu yupo uliepangiwa na Mugnu basi atakuja kwa muda wake......
if you go with any plan ya biashara uliishahesabug achana na huyo mwanaume nitakuchangia elf 75, ikusogeze or uongeze kwenye biashara yako....Mungu akusamehe kwakweli
Sent using Jamii Forums mobile app