jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,122
- 35,973
Fanyeni kazi acheni kulalamika..miradi ya kanisa husaidia wasio jiweza na mayatima..yani wewe mzima wa mwili na akili unataka usaidiwe nini tena..maandiko ynasema asiyefanya kazi asilie acha utegemezi..chamsingi changia injili iwafikie watu wapate kuokolewa.kimsingi miradi ya kanisa haina faida ya moja kwa moja kwa muumini asilani. Utadikia eti wanajenga shule na wakati huwezi kumpeleka mwanao akasoma bure kwenye shule zao. Na hata hospitali zao kama huna hela hutibiwi na wakati sadaka na michango unatoa. Kwa ufupi, haya madhehebu yana fanya biashara tu. na ni wakati muafaka wa sisi waumini kuamka
#MaendeleoHayanaChama