Kuna kitu hakiko sawa BAVICHA

Kuna kitu hakiko sawa BAVICHA

Katiba inasemaje?

Katiba inawahusu wanachama.

Je wasio wanachama...mashabiki na watu ambao wanapenda mageuzi wanalazimika vipi kuifuata hiyo katiba

By the way kwa nini mtu ukimbie criticisms?
 
Katiba inawahusu wanachama.

Je wasio wanachama...mashabiki na watu ambao wanapenda mageuzi wanalazimika vipi kuifuata hiyo katiba

By the way kwa nini mtu ukimbie criticisms?
Ukishakua Mwanachama lazima Card itakuhusu soma nyuma ya card yako
 
Hapana mkuu,mimi nasema hafai kabisa.
Mwenyekiti wa BAVICHA ni symbol ya kitaifa na kimataifa.Sio ya Mwanza au makao makuu ya CHADEMA.
BAVICHA inahitaji mpambanaji haswa,sio legelege.
Jamani hakuna mtu kasema mwenyekiti hafai,someni mwelewe sote tunaipenda bawacha,tusijifiche kwenyekivuli cha ccm.
 
Kama kweli wewe ni mwanachadema piga kazi mafanikio yataonekana, kama unasubiria viongozi wa kitaifa ndio waje kwenye maeneo yako waeneze chama ......kama wewe ni kiongozi wa Msingi au ngazi yoyote hautufai, kuwa tuu mwanachama wa kawaida. Hata mwanachama wa kawaida anatakiwa aeneze chama kwa eneo alilopo.

Ukisoma kadi ya Chadema kwa nyuma...Wajibu wa Mwanachama namba 3. (imetolewa kwenye katiba ya chadema) Imeeleza kwamba "Kutetea na kueneza itikadi, falsafa na Madhumuni ya chama ndani ya jamii anamoishi"

Hujaelewa ninacho kimaanisha mkuu, hivi hata kwenu unaingia tu na kuanza kuoakua wakati baba yako hajapakua chakula, tunahitaji bawacha yenye kasi na inayoonyesha njia,ili kuwatia moyo na wengine,unafikiri heche angekuwa anafanya kazi hivi leo tungekuwa na bawacha hii?.

Tuache mawazo mgando
 
Upuzi wandu nimoja yakuwaogesha watu kama nyie mliopakaliwa ----- wa ccm

Are you sure? Nina wasiwasi mkubwa sana na wewe ...Wewe sio Mwanachama wala shabiki wa CHADEMA

Wewe ni mwanachama wa CCM ndani ya ID inayojifanya ni CHADEMA

Lengo lako ikiwa ni kuropoka kuonesha kwamba CHADEMA kuna wapuuzi kama waliopo CCM
 
Hujaelewa ninacho kimaanisha mkuu, hivi hata kwenu unaingia tu na kuanza kuoakua wakati baba yako hajapakua chakula, tunahitaji bawacha yenye kasi na inayoonyesha njia,ili kuwatia moyo na wengine,unafikiri heche angekuwa anafanya kazi hivi leo tungekuwa na bawacha hii?.

Tuache mawazo mgando

Correction Chief...Ni BAVICHA
 
NAOMBA NIWEKE WAZI KUWA SIWEKI POSTI HII ILI KUVURUGA UMOJA HUU,WALA SINA NIA YA KUFARAKANISHA VIONGOZI,NIA YANGU NI KUANZISHA MJADALA MPANA ILI KUUSAIDIA UMOJA WETU UENDANE KASI INAYO TAKIWA.

Baraza la vijana wa chadema kwa sasa linaonekana limefubaa,ni thahiri uongozi uliopo unashindwa kubuni mambo,hauna kasi iliyokuwepo hapo awali alipokuwepo Mh,Heche, uongozi ni kama unafanya mambo kwa kushuliwa na baadae una lala tena.niwazi mwenyekiti wetu amzidiwa mbinu au hana mbinu za kuchangamsha baraza.

Wana bavicha niwazi sasa tunahitaji mbinu mbadala,au plan B, baraza linahitajika kuamka na uongozi ukubali kuanzisha kikosi kazi maalum kitakachokuwa ndani ya bavicha kwaajili ya kazi hiyo,mwenyekiti abaki ofisini kusimamia harakati hizo kwasababu hata kwenye operesheni alizoshiriki ameonyesha kutomudu mikiki mikiki na badalayake amakuwa akimezwa na waliomzunguka na kutoonekana kabisa,amekuwa kama anauoga flani.

Tunahitaji kikosi kitakacho changamsha baraza letu hata ikiwezekana waliogombea nafasi ya mwenyekiti na kushindwa basi,wapewe uwanja maalum wa kuendesha siasa ndani ya bavicha ili baraza lichangamke na kurudisha msisimko uliokuwepo awali.

kwamuda ambao mwenyikiti amekuwepo umetosha kumpima na kujua ni mtu wa aina gani,uwezowake jukwaani tumesha ufahamu,huvyo hatupaswi kuendelea kupoteza muda wakati uchaguzi unakaribua.

NI WAKATI WA KUCHUKUA HATUA SASA KWA USTAWI WA UMOJA WETU

Tumechagua mwenyekiti bubu ndani ya BAVICHA...dah! Mr. Chairman wa BAVICHA please do something...kama bajeti ni ndogo, pitisha bakuli, vijana tupo wengi madereva boda boda tutakupa buku buku nchi nzima...!🙁🙁🙄🙄
 
Jamani hakuna mtu kasema mwenyekiti hafai,someni mwelewe sote tunaipenda bawacha,tusijifiche kwenyekivuli cha ccm.

Ukitaka kudhibitisha wewe ni kibaraka na umetumwa na lumumba ni kwamba hujui tofauti ya Bavicha na Bawacha!!Mtaweweseka sana mwaka Huu magamba!!
 
Soma Nyuma ya card yako ndio hurudi hapa

Elewa kuwa kunamambo yanayofanya na mti mojammoja na kunavikundi, pia taasisi, vyote kwa pamoja vinatakiea kufanya kazi kwa pamoja na kwa kasi inayo endana.

Sasa wewe unaendesha gari kwa tair tatu moja imegoma kisha unajisifu na kupiga kifua kuwa gari inakimbia!?.

Bavicha tuamke
 
Are you sure? Nina wasiwasi mkubwa sana na wewe ...Wewe sio Mwanachama wala shabiki wa CHADEMA

Wewe ni mwanachama wa CCM ndani ya ID inayojifanya ni CHADEMA

Lengo lako ikiwa ni kuropoka kuonesha kwamba CHADEMA kuna wapuuzi kama waliopo CCM

Nikutoe wasiwasi unaniona sana kwenye vyombo vya habari
 
Are you sure? Nina wasiwasi mkubwa sana na wewe ...Wewe sio Mwanachama wala shabiki wa CHADEMA

Wewe ni mwanachama wa CCM ndani ya ID inayojifanya ni CHADEMA

Lengo lako ikiwa ni kuropoka kuonesha kwamba CHADEMA kuna wapuuzi kama waliopo CCM

Kabisa mkuu bavicha haitakiwi kuwa na watu kama hawa.
 
Kwa hio CHADEMA mtapigiwa kura na wanachama wenu tu wenye kadi?

Kwa hio kura za wasio wanachama wenu hamzitaki?

Wewe una matatizo tena sio madogo...na yako Upstairs
Kama unasema hujui katiba ndio tunakujuza sasa kuna namna yakuwasilisha hatufanyi kazi zetu ki ccm
 
Back
Top Bottom