Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,117
- 3,040
😢😢😢😢😢MbombongafuView attachment 1252983
😢😢😢😢😢MbombongafuView attachment 1252983
Atasubiri sana ndo basi tenaMbombongafuView attachment 1252983
John Kijazi Katibu Mkuu Kiongozi alikuwa Katibu Mkuu (W) Ujenzi wakati wa Mkapa.Acha uongo na kuongea usiyoyajua.
Alfayo kidata alikua katibu mkuu ardhi enzi ya JK mpaka JPM anaingia madarakani.
Kijazi alikua katibu mkuu ujenzi kabla yakupewa ubalozi. Kijazi alipewa ubalozi na JK sio Magu.
Inatia kinyaa sana kuongea usiyoyajua.
Zimwi likujualoHaka ni kakikundi ka watu ambako Rais Magufuli alikuwa nako pale Tanroads na amekuwa akikatukuza sana. Imefika hatua hata wakitumbuliwa huku wanapelekwa kule. Aidha wengine nimeona wakipewa hata utukufu usio wa kawaida.
1. Mhandisi John Kijazi.
Huyu alikuwa pale ujenzi kama boss na Rais Magufuli alipoukwaa urais tu akamtoa kwenye ubalozi muda mfupi baada tu ya kudumu hapo sasa yupo naye ikulu kama katibu mkuu kiongozi. Hawa walikuwa maswahiba wakubwa pale ujenzi
2. John Mfugale.
Huyu ni mtendaji mkuu wa Tanroads ambaye jina lake limepewa hadhi na Rais Magufuli kuwa jina la daraja la juu la TAZARA. Hii ni ya kwanza kufanywa na mkuu wa nchi yetu na ni ya aina yake. Bila shaka akitoka pale Tanroads anaweza kuukwaa ubalozi.
3. Alphayo Kidata.
Huyu naye aliwahi kupita pale Tanroads. Rais Magufuli akamteua kuwa kamishina mkuu wa TRA, akamrudisha kwenye ubalozi akamvua hadhi ya ubalozi na wengi tulitarajia kitakachofuata ni mashitaka dhidi yake ila sasa ni RAS.
4. Charles Kicheere.
Huyu naye alikuwa na Rais Magufuli pale Tanroads akateuliwa kuwa kamishina wa TRA, akatumbuliwa na sasa ameteuliwa kuwa CAG baada ya kutokea huko kwenye u RAS.
Aidha nimeona leo wahandisi wawili wakiukwaa ubalozi na u RAS na hawa pia wamezungua zunguka kwenye vyeo na walikuwa pale Tanroads na Rais Magufuli.
Naona kuna kitu wanazunguka naye nacho na hawa hawatumbuliki bali wanahamishwa kutoka sehemu moja hadi nyingine. Kulikoni? Hii kweli ni sahihi?
...halikuli likakwishaZimwi likujualo
Muongeze na Elius Mwakalinga alikuwa TBA na sasa ni KM wa Ujenzi.Umemsahau na Dotto James, PS Finance
Hakuna utaratibu kama huu duniani. Ipo siku watateuliwa wanafamilia ndugu utaona sawa.
Hii nchi ni ya watanzania,hata kama unao ndugu,jamaa na marafiki wenye sifa hupaswi kuwateua maana utendaji pia unawafanya wananchi kuweka mashaka juu yao.
Wanawezakosea kiufundi tu ama bahati mbaya lakini wakahukumiwa kwa ushirika tu.
Saiz tena mumeshahama kwenye ukabila?
Ndo mumehamia kwenye utaniroadisim?
Mfa maji haishi kutapa tapa
Hoja za msingi kama hizi ambazo huwezi kujadili kwa hoja muwe mnapita kimya mipasho siyo mahala pake hapa.CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria
Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata upotevu wa pesa
Wewe kijana wa uvccm umetoka wapi tenaWewe akili yako si imefungiwa kwenye mtungi.unaona mbele ya pua yako tu.
Kwani wao chadema wakaguzi wao wana elimu gani na wakina nani? Au ni komu?Hii ni Tabia ya mtu dhaifu yani hata kama anaemuamini (kwa mtazamo wake) ana haribu kila ofisi anayompangia yeye hawezi kuona mbadala wake. Hiki ni kilema cha mhe.rais wetu
Kwani wao chadema wakaguzi wao wana elimu gani na wakina nani? Au ni komu?