mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,856
- 106,089
Hakuna cha mabilion bei ni za kawaida tuNielezee kwa undani ni Hawa wanaonunua wakipiga makelele au ma millionaire
Dhumuni kubwa ni kuweka kumbukumbu
Kwa wanunuzi wa mwisho
Ova
Hakuna cha mabilion bei ni za kawaida tuNielezee kwa undani ni Hawa wanaonunua wakipiga makelele au ma millionaire
HahahahaBabu wa Loliondo aliondoka na siri
HapanaCha rupia au
Sema sasaHapana
nawapataje mimi ninazo kma 3Mnazi mmoja pale kuna kijiwe fulani wao wana deal na noti /pesa za zamani
Ova
hahaaa oya unamaanisha wale wadau wachezesha kamari pale mataa au?Nenda ile Junction mnazi mmja kuingilia lumumba...pembeni pale kuna wadau wa pesa za zamani utawakuta ...kitambo sana wapo pale
Ova
No!kuna watu wamepanga pesa mezanihahaaa oya unamaanisha wale wadau wachezesha kamari pale mataa au?
Pita mitaa ile mnazi mmoja utawakutanawapataje mimi ninazo kma 3
ahaaa nikajua unazungumzia wale jamaa wa kamali pale mataa kiongozi wao anaitwa a.k.a kingungeNo!kuna watu wamepanga pesa mezani
Za zamani
Ova
Syo haoahaaa nikajua unazungumzia wale jamaa wa kamali pale mataa kiongozi wao anaitwa a.k.a kingunge
Bwashwee wale jamaa ni nuksi kwa utapeli pale town!
😁😁😁😁😁
nipekupata mkuu!Syo hao
Ova
Na Sungura.Nani ana kile kisa cha mzungu kuja huku na kuanza kununua nyani?
Akiweke hapa
Kinaendana kabisa na hizi biashara.
Halafu wajinga huwa hawaishi ndio mtaji wa hao matapeli.tumetoka kwenye sarafu ya shilingi 20,rupia,na wenzake wengine,tukaja kwenye mercury na sasa tunahamia rasmi kwenye noti ya jero.
hii nchi ina pilika sana.
Eti nyerere kaangalia kushotoHazina ya mjerumani, rupia, mia ya zamani, sijui shilingi nyerere kaangalia kushoto sijui kulia aisee ni yale yale sema yanakuja kwa njia tofauti tofauti tu.