Kuna haja ya sheria ya Ndoa kufanyiwa maboresho, watu wakizaa pamoja basi ihesabike ni Ndoa halali

Ni hayo tu , haiwezekani unazalisha mwingine unakwenda oa mwingine kisa hampendani au kuendana au una zaa na mwingine kirahisi tu unakwenda olewa na mwingine.

AU huoi kabisa

Haya maumivu ya kisaikolojia wanayosababishiana watu hayana afya kwa jamii
Na ukizaa tena nje, utakuwa na wake wangapi?
 
Ni hayo tu , haiwezekani unazalisha mwingine unakwenda oa mwingine kisa hampendani au kuendana au una zaa na mwingine kirahisi tu unakwenda olewa na mwingine.

AU huoi kabisa

Haya maumivu ya kisaikolojia wanayosababishiana watu hayana afya kwa jamii
Unataka kuhalalalisha uzinzi ambao ni dhambi kubwa yaani mtoto wa kike akuketee tu wajukuu nyumbani kwako baba wa watoto humjui,Halafu roho yk kwatu
 
... kibaiolojia binadamu ni kundi la mamalia. Ukiacha ustaarabu kiduchu anaodhaniwa kuwa nao; still tabia za kundi la kibaiolijia alilomo hazitamwacha kamwe hata aje nabii gani ambaye naye ni kundi hilo hilo!
 
Mbona conclusions yako ya mapema mno, hujafanya research ya kutosha mzee.
 
Ndoa si ndoana kwamba ukiimeza Kama samaki hauitemei... Bahati mbaya sana mfalme suleimani aliyekuwa na wake 700 plus michepuko 300 hayupo... Ila angekuwepo ungesikia kwamba kila akizinguliwa, anaongeza mwingine Na haikuwa nongwa. Sasa mtoa mada anataka njemba zote zikionja asali zichonge Na mzinga, hiyo ngumu kumeza Kwa kweli...
 
Ni hayo tu , haiwezekani unazalisha mwingine unakwenda oa mwingine kisa hampendani au kuendana au una zaa na mwingine kirahisi tu unakwenda olewa na mwingine.

AU huoi kabisa

Haya maumivu ya kisaikolojia wanayosababishiana watu hayana afya kwa jamii
Hoja zako hazina mashiko kabisa. Completely nonsense!
 
Ni hayo tu , haiwezekani unazalisha mwingine unakwenda oa mwingine kisa hampendani au kuendana au una zaa na mwingine kirahisi tu unakwenda olewa na mwingine.

AU huoi kabisa

Haya maumivu ya kisaikolojia wanayosababishiana watu hayana afya kwa jamii
Condom accident🐸👈.
 
Back
Top Bottom