Inakuaje una majina zaidi ya 250 ya marafiki ndugu na jamaa, ila unashindwa kupata dhamana au msaada wa sh 250,000 kutatua tatizo la X-ray ya Baba yako mzazi, baada ya wiki mbili umeshindwa kupata hicho kiasi mpaka mzazi kapoteza maisha kwa kumchelewesha kupata matibabu. Sasa swali langu ni hivi; kuna haja gani ya kuendelea kutunza hayo majina 250 kwenye simu yako?
Mimi simu yangu ina majina "15 of quality important names" si seivu majina ya marafiki wanafiki au Mzigo nikipata shida hao wasipo nisaidie naachia Mungu.
Nimesevu wake zangu wawili, Mama angu, shemeji, comrade angu iko US, Daktari mmoja, Imamu wetu, workmate wawili, schoolmate, na wengine muhimu, sitaki liability friends.
Mimi simu yangu ina majina "15 of quality important names" si seivu majina ya marafiki wanafiki au Mzigo nikipata shida hao wasipo nisaidie naachia Mungu.
Nimesevu wake zangu wawili, Mama angu, shemeji, comrade angu iko US, Daktari mmoja, Imamu wetu, workmate wawili, schoolmate, na wengine muhimu, sitaki liability friends.