Kuna Foleni Kali Kati ya Chalinze na Ruvu leo tarehe 08/ 12/ 23 mifa ya Saa 7 usiku

Barabara ya Bagamoyo to Dar imefungwa. Hii inasababisha magari yote toka kaskazini yapitie Chalinze na magari yaliyokwama kati ya daraja linalounga Dar na Bagamoyo...yarudi nyuma na kulazimika kuelekea Mlandizi kwa kutokea Bagamoyo.

Huenda hii ikawa sababu mkuu
 
Barabara ya Bagamoyo to Dar imefungwa.
Hii inasababisha magari yote toka kaskazini yapitie Chalinze na magari yaliyokwama kati ya daraja linalounga Dar na Bagamoyo...yarudi nyuma na kulazimika kuelekea Mlandizi kwa kutokea Bagamoyo.

Huenda hii okawa sababu mkuu
Yawezekana hii ndiyo sababu
 
Ila afadhali umefungua thread sisi tunaotoka Dar Dom Singida au Singida Dom Dar huwa tunakwama sana ukishapita Mdaula kutoka Moro au ukitoka Chalinze hasa usiku. Nafikiri labda ukiacha hili tatizo lililowasilishwa leo pia kuna tatizo jingine pale. Na hili nalo liangaliwe.
 
Mida flani mchana kuna magari2 ya mizigo yalikula mbono mitaa hiyo. Ila tatizo likawa resolved ndani ya masaa3 magari yalikuwa hayapiti foleni lakwenda!

Pengine tatizo limejirudia tena...!
Hapo Ruvu mvua zikizidi, upitaji wa magari ya mizigo huwa changamoto sana so kuweni wapole tu na hii ndo Bongo kuchechemea ndo zetu wechu!
 
kile kidaraja cha mkoloni pale mapinga mingoi kizuiani kinataka kwenda na WOTA.
Kila nikipita kwa miguu uwa naona kabisa junsi linavyotingishika gari likipita .nilikuwa najua tu ipo siku kitakuja kuleta mizinguo.
Kuna wale wapumbavu walikuwa wanasuka kokoto miezi na miezi na kula hela za bure lakini wapii.
 
Yawezekana hii ndiyo sababu
1702069013976.jpg
 
Mida flani mchana kuna magari2 ya mizigo yalikula mbono mitaa hiyo. Ila tatizo likawa resolved ndani ya masaa3 magari yalikuwa hayapiti foleni lakwenda!

Pengine tatizo limejirudia tena...!
Hapo Ruvu mvua zikizidi, upitaji wa magari ya mizigo huwa changamoto sana so kuweni wapole tu na hii ndo Bongo kuchechemea ndo zetu wechu!
Hii imetoa mwanga kuhusu chanzo cha tatizo
 
Barabara ya Bagamoyo to Dar imefungwa. Hii inasababisha magari yote toka kaskazini yapitie Chalinze na magari yaliyokwama kati ya daraja linalounga Dar na Bagamoyo...yarudi nyuma na kulazimika kuelekea Mlandizi kwa kutokea Bagamoyo.

Huenda hii okawa sababu mkuu
Wewe umewahi kuwa waziri mkuu?
 
Back
Top Bottom