Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,716
- 15,277
Wafanyabiashara wengi wa bongo ukiwabana/ukitaka uweke mambo wazi lazima wawe mbogoKama utaratibu huu Ni mzuri na wenye faida kede kede; MBONA WAMILIKI WA MABASI HAWAUPENDI???
Sawa sawa na kusema mwanamke Ni mzuri wakati hajaolewa Wala Hana mchumba.