Ukiwa mwenge kituoni ile asubuhi abiria wa naosubiri gari za posta ni wengi sana ila cha kushangaza mtu anasimamawee pale kusubiri gari za posta wakati anashuka aidha Victoria makumbusho au moroko lakini zinakuja gari za kariakoo nyeupee wala hapandi anasubiri za posta au mtu anaenda posta mpya na zipo zile nyekundu zipitazo manzese pia hapandi aanasubiri hizi za mwenge posta huwa najiuliza sana kuwa ivi kuna fahari gani mtu ukiwa pale Mwenge kupanda gari hizi?
Mi nadhani hakuna sababu yoyote labda kwa wale wanaoshuka kuanzia mbuyuni contena ubalozi salenda Palmbeach na redcross mie huwa nashuka palmbeach
Mi nadhani hakuna sababu yoyote labda kwa wale wanaoshuka kuanzia mbuyuni contena ubalozi salenda Palmbeach na redcross mie huwa nashuka palmbeach