Kuna dawa ya kienyeji ya kutibu ugonjwa wa kisukari?

Mleta mada NAKUSHAURI TU KAMA UTAWEZA ASUBUHI PIGA MBOGAMBOGA ZA KUTOSHA NA SLICES 3 ZA MKATE WA BROWN.

MCHANA KULA MBOGA MBOGA 50 % UGALI WA MTAMA MWEUPE USIO KOBOLEWA 5%
UKISHINDWA KULA SAHANI KUBWA LA MATUNDA MCHANGANYIKO KASORO NANASI , NDIZI,TENDE NA MUWA, HALAFIU JIONI NDO UKALE UGALI LAKINI MUDA WA KULA NI KABLA YA SAA 2USIKU. Fanya hivyo japo kwa wiki 1 njoo na vipimo nikuelekeze dawa.
Sukari nyingine husababishwa na UTAPIAMLO!
 
Ndugu zangu wapendwa nawasalimu wote! Niliamua kwenda kwenye moja ya hospitali zetu hapa jijini kwa ajili ya kuangalia afya! Nilitaka kujuwa afya yangu kwa ujumla kuanzia pressure,sukari,ukimwi na n.k.

Baada ya kufanyiwa vipimo ikaoneka sukari yangu iko juu kuliko matarajio hivyo nikaambiwa nirudi kesho yake ili nipimwe tena kabla ya kula.

Hata hivyo sukari ilionekana kuwa 8.4 kabla ya kula. Doctor akanipatia dawa (vidonge vyeupe) kwa description ya kula 1*2, nimetumia siku moja kwa maana nilipata ushauri wa pili ya kuwa nijaribu ku control diet na kufanya mazoezi.

Hata hivyo kuna watu wameniambia naweza pia tibia hiyo hali kwa dawa za miti shamba. Sasa nauliza je kuna mtu anafahamu ya kama kuna dawa zinazosaidia ku control au kutibu tatizo hili?

Napenda kuwakilisha.

Miti Shamba mingi kama sio yote ni utapeli. My dad has lived with type 2 diabetes for 15 years, naelewa mambo mengi kwenye ugonjwa huu. Tumia dawa za hospital, control diets na fanya mazoezi
 
Tiba zipo kweli ila jua zina gharama na hizo gharama sio dawa tu ila ikiwemo malazi, maana lazima uwe chini ya uangalizi/clinic sio chini ya miezi mitatu. Hapo ikihusisha dawa, chakula , mazoezi , fasting n.k
Hakuna shortcut kwenye magonjwa haya.
Tofauti na hapo hupate phisician ambaye utaelewana nae akuatend nyumbani na wewe ufuate atakacho kuambia. Ila tiba ni ya muda mrefu
 
Mleta mada NAKUSHAURI TU KAMA UTAWEZA ASUBUHI PIGA MBOGAMBOGA ZA KUTOSHA NA SLICES 3 ZA MKATE WA BROWN.

MCHANA KULA MBOGA MBOGA 50 % UGALI WA MTAMA MWEUPE USIO KOBOLEWA 5%
UKISHINDWA KULA SAHANI KUBWA LA MATUNDA MCHANGANYIKO KASORO NANASI , NDIZI,TENDE NA MUWA, HALAFIU JIONI NDO UKALE UGALI LAKINI MUDA WA KULA NI KABLA YA SAA 2USIKU. Fanya hivyo japo kwa wiki 1 njoo na vipimo nikuelekeze dawa.
Sukari nyingine husababishwa na UTAPIAMLO!
Hii ndio TIBA YA HAKIKA ya kisukari ONGEZA PIMA KILA asubuhi na 2hr baada ya chakula
 
Ndugu zangu wapendwa nawasalimu wote! Niliamua kwenda kwenye moja ya hospitali zetu hapa jijini kwa ajili ya kuangalia afya! Nilitaka kujuwa afya yangu kwa ujumla kuanzia pressure,sukari,ukimwi na n.k.

Baada ya kufanyiwa vipimo ikaoneka sukari yangu iko juu kuliko matarajio hivyo nikaambiwa nirudi kesho yake ili nipimwe tena kabla ya kula.

Hata hivyo sukari ilionekana kuwa 8.4 kabla ya kula. Doctor akanipatia dawa (vidonge vyeupe) kwa description ya kula 1*2, nimetumia siku moja kwa maana nilipata ushauri wa pili ya kuwa nijaribu ku control diet na kufanya mazoezi.

Hata hivyo kuna watu wameniambia naweza pia tibia hiyo hali kwa dawa za miti shamba. Sasa nauliza je kuna mtu anafahamu ya kama kuna dawa zinazosaidia ku control au kutibu tatizo hili?

Napenda kuwakilisha.
Kama hujapata Dawa ya sukari nifuate inbox 3month umepona utaweza kufanya test ya Glycated haemoglobin am a yo huthibisha tofauti na FBG na RBG ambazo pia utaweza kupima wamepona wengi kazi ya dawa hii si Ru Ku restore Kongosho Pekee bali haha organ zingine hii sio supplement zile za business marketing hakuna ugonjwa usiotibika isipokuwa ulemavu na uzee,kwa maandishi usipopona utarudishiwa hela yako just only 3month to 6month kutegemea hali ya mtu lakini wengi wamepona kwa miezi 3 tu miezi mingine mitatu itakuwa kama maintenance dose ugonjwa uliongia taratibu utatoka taratibu time heals..HAKUNA NILIYEMPA AKARUDI KUSEMA HAJAPONA NA USHAHIDI WA MAWASILIANO YAO WOTE NINAO
 
Kuwa makini sana na kila unachoambiwa, Mama aliambiwa ndani ya miezi 6 atapona kabisa na kuelekezwa kutofuata masharti hasa ya vyakula na kutopima kabisa sukari.

Mwisho wa siku hali ilikuwa mbaya zaidi, na Daktari alikuwa mkali sana alipofuatwa baada ya kuwa amepiga pesa ndefu. Hivyo za kuambiwa ongeza na za kwako chukua dawa lkn tahadhali na masharti ya vyakula muhimu sana kufuatwa
Mama yako alimpata Mtibabu feki ndio maana hakuweza kupona maradhi yake. Hakuna maradhi aliyoyaumba Mungu yasikose kuwa na dawa yake kaka kama una imani niamini hivyo.La kama huna imani kaa kama ulivyo watu wanapona Maradhi ya Ukimwi, Saratani, Vidonda vya tumbo Hepatitis B Virus, Maradhi ya kiharusi aka Stroke itakuwa huo ugonjwa wa kisukari? hujampata mtibabu mzuri wa kuweza kumtibia Mama yako ndio maana hakuweza kupona maradhi yake ya kisukari.
 
Kwanini mnakuwa na mzaha namna hii kwenye vitu serious, hv tungekuweka wewe ktk hali ya muhusika alafu mm nacoment huu upumbavu wako hapa ungejisikiaje, be wise na kama huna cha kuchangia wacha usiendekeze siasa kila mahali.
Naam mkuu.

Ahsante kwa mwongozo
 
Pole, km hutojali, nione PM nikupatie namba ya mtaalamu wa magonjwa hayo akupatie Tiba. Yuko Mbeya kwa Sasa.
... No ya Simu ya Dr Mpaka PM? Weka Mambo Hadharani Watu wengi wenye Shida Wafaidike...!
 
Ndugu zangu wapendwa nawasalimu wote! Niliamua kwenda kwenye moja ya hospitali zetu hapa jijini kwa ajili ya kuangalia afya! Nilitaka kujuwa afya yangu kwa ujumla kuanzia pressure,sukari,ukimwi na n.k.

Baada ya kufanyiwa vipimo ikaoneka sukari yangu iko juu kuliko matarajio hivyo nikaambiwa nirudi kesho yake ili nipimwe tena kabla ya kula.

Hata hivyo sukari ilionekana kuwa 8.4 kabla ya kula. Doctor akanipatia dawa (vidonge vyeupe) kwa description ya kula 1*2, nimetumia siku moja kwa maana nilipata ushauri wa pili ya kuwa nijaribu ku control diet na kufanya mazoezi.

Hata hivyo kuna watu wameniambia naweza pia tibia hiyo hali kwa dawa za miti shamba. Sasa nauliza je kuna mtu anafahamu ya kama kuna dawa zinazosaidia ku control au kutibu tatizo hili?

Napenda kuwakilisha.
Can diabetes still be cured?
While diabetes is incurable, a person can stay in remission for a long time. No cure for diabetes currently exists, but the disease can go into remission. When diabetes goes into remission, it means that the body does not show any signs of diabetes, although the disease is technically still present.
Mkuu Hakuna dawa ya hospitali itakayoweza kukutibu maradhi yako ya kisukari. Huwezi kupona kwa kutumia Dawa za Hospitali utatumia dawa za hospitali mpaka mwisho wa maisha yako na hutoweza kupona hayo maradhi ya kisukari . Unaweza kupona kwa kutumia Dawa za Asili. Ukihitaji kupona kw akutumia dawa za asili nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako na upate kupona uguwa pole.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom