Nashindwa kudhibiti kisukari licha ya kutumia dawa na kufuata masharti

Dr Adinan

Member
Jul 11, 2021
14
20
Siku moja tukiwa tunaongea na wagonjwa katika mijadala ya kawaida kuhusu kudhibiti kisukari na presha, mgonjwa mmoja aliuliza swali la muhimu sana.

Dr. Mimi nashangaa, ninamuiga mume wangu aina ya vyakula na kiwango lakini yeye ameweza kudhibiti ila mimi siijaweza. Tatizo nini?

Wagonjwa wengi wamekuwa wakiiga tiba ya wenzao au wakati mwengine wagonjwa wa kisukari wamekuwa wakiwapatia wengine tiba zenye manufaa kwao. Hii ni nzuri, wakati mwengine hufanya kazi. Mara nyingi tiba hii haishushi sukari kwa mwengine, haifanyi kazi.

Sababu ya muhimu ni moja. Sababu yenyewe ni rahisi kwelii na huwa tunapenda sana kuitumia kutaoa mfano. Huwa wakati mwengine tunatumia kiganja cha mkono na vidole vyake kufahamisha.

Ushaanza kufahamu? Nakupa hint, mtu huanza hivi, watu ni kama vidole...

Kama vilivyo vidole havilingani.....Ahaaaaa naona umeanza kujibu.... Binadamu pia hawafanani kwa kila kitu. Tunatofautiana. Ndiyo, tuko tofauti. Si unaona hata huazimi suruali kwa kila mtu!

Ndiyo maana dozi ya dawa kwako inaweza kushusha kisukari na kukidhibiti lakini kwa mwingine ikashusha sukari zaidi au isishushe kabisaa.

Kiwango cha chakula unachotumia kinaweza kuwa sawa kwako na kushusha sukari, lakini kwa mwingine kikasababisha sukari ipande.

Sasa toa mkono wako, angalia vidole. Sema haviko sawa. Na sisi hatuko sawa. Hivyo ninahitaji matibabu mahususi kulingana na uhitaji.

Kama umeshaamini hivi, nasi tunaamini hivi hivi ndiyo maana tukasema tukusaidie kudhibiti kisukari kwa ushauri. Tunaendelea pale hospitali ilipoishia. Tunakusindikiza na kubaki nyumbani na wewe!

Fahamu unavyoweza kushusha sukari unapojiunga na MloPlan leo.

Kwahiyo, sababu ingine ya wagonjwa kushindwa kudhibiti kisukari ni kuiga tiba ya wengine.

Endelea kunifuatilia nikupatie dondoo muhimu zitakozokuwezesha kudhibiti na kuepuka madhara ya kisukari.

Unaweza kusoma sabau zingine kwa kubonyeza HAPA

Kumbuka: Fahamu. Fuatilia. Fanya. ili uFurahia
 
Siku moja tukiwa tunaongea na wagonjwa katika mijadala ya kawaida kuhusu kudhibiti kisukari na presha, mgonjwa mmoja aliuliza swali la muhimu sana.

Dr. Mimi nashangaa, ninamuiga mume wangu aina ya vyakula na kiwango lakini yeye ameweza kudhibiti ila mimi siijaweza. Tatizo nini?

Wagonjwa wengi wamekuwa wakiiga tiba ya wenzao au wakati mwengine wagonjwa wa kisukari wamekuwa wakiwapatia wengine tiba zenye manufaa kwao. Hii ni nzuri, wakati mwengine hufanya kazi. Mara nyingi tiba hii haishushi sukari kwa mwengine, haifanyi kazi.

Sababu ya muhimu ni moja. Sababu yenyewe ni rahisi kwelii na huwa tunapenda sana kuitumia kutaoa mfano. Huwa wakati mwengine tunatumia kiganja cha mkono na vidole vyake kufahamisha.

Ushaanza kufahamu? Nakupa hint, mtu huanza hivi, watu ni kama vidole...

Kama vilivyo vidole havilingani.....Ahaaaaa naona umeanza kujibu.... Binadamu pia hawafanani kwa kila kitu. Tunatofautiana. Ndiyo, tuko tofauti. Si unaona hata huazimi suruali kwa kila mtu!

Ndiyo maana dozi ya dawa kwako inaweza kushusha kisukari na kukidhibiti lakini kwa mwingine ikashusha sukari zaidi au isishushe kabisaa.

Kiwango cha chakula unachotumia kinaweza kuwa sawa kwako na kushusha sukari, lakini kwa mwingine kikasababisha sukari ipande.

Sasa toa mkono wako, angalia vidole. Sema haviko sawa. Na sisi hatuko sawa. Hivyo ninahitaji matibabu mahususi kulingana na uhitaji.

Kama umeshaamini hivi, nasi tunaamini hivi hivi ndiyo maana tukasema tukusaidie kudhibiti kisukari kwa ushauri. Tunaendelea pale hospitali ilipoishia. Tunakusindikiza na kubaki nyumbani na wewe!

Fahamu unavyoweza kushusha sukari unapojiunga na MloPlan leo.

Kwahiyo, sababu ingine ya wagonjwa kushindwa kudhibiti kisukari ni kuiga tiba ya wengine.

Endelea kunifuatilia nikupatie dondoo muhimu zitakozokuwezesha kudhibiti na kuepuka madhara ya kisukari.

Unaweza kusoma sabau zingine kwa kubonyeza HAPA

Kumbuka: Fahamu. Fuatilia. Fanya. ili uFurahia
Utakuwa una Kisukari cha uchawi nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia kabisa na utapona sio kudhibiti mimi ninatibu kabisa hayo maradhi kwa muda wa miezi 3na mtu anapona kabisa na kula chakula chochote unachokitaka uguwa pole Mkuu.
 
Hamnaga dawa ya Kisukari , ikishakukumba ni parambanda tuu , achanana matapeli ya kwenye mitandao , nchi kama USA, Japan , Uingereza , hawana dawa ya Kisukari halafu aje **** **** akuambie anatibu kitamtam
 
Hamnaga dawa ya Kisukari , ikishakukumba ni parambanda tuu , achanana matapeli ya kwenye mitandao , nchi kama USA, Japan , Uingereza , hawana dawa ya Kisukari halafu aje ** ** akuambie anatibu kitamtam
Unao ushahidi wowote wa kujulisha kuwa hakuna dawa ya kutibu ugonjwa wa Kisukari?Au unapenda kuropoka tu maneno yako ya Pumba? Lete Ushahid kuwa hakuna dawa ya kutibu ugonjwa wa Kisukari hapa. Labda uniambie kuwa hakuna dawa ya kutibu maradhi ya kisukari maradhi ya ukimwi maradhi ya kansa Mahospitalini nitakukubalia. Lakini sio kwa dawa za Asili hapo nitakukubalia. Kwani Hakuna dawa za Hospitali zitakazo weza kutibu hayo maradhi niliyo yataja hapo juu, kwa dawa zetu za asili unatumia na kupona kabisa.
 
Pole sana ndugu, wanakuja kukushauri, ila nakupa angalizo, ukitaka kufa mapema nenda kwa Mwamposa.

Mungu anaponya na unaweza kuponya, ila sio kwa hawa watu wa Mungu wa mchongo, hakika utakufa mapema.

Kama ni Mkristo na unaamini katika Biblia. Tafuta maandiko yanayoongelea uponyaji, yale, yasome, yatafune, yatafakari mpaka tumaini litakuja na utapona.

Soma sana hadithi za Matendo ya mitume na shuhuda zao baada ya roho mtakatofu kushuka na wao kupokea nguvu.

Kuna wahubiri wa Mungu wa kweli nchi hii, ila are so hard to find, na sio maarufu, hawana radio wala maspika makubwa na wafuasi wengi, hawana magari wala kanisan mwao hakuna masofa.
 
Siku moja tukiwa tunaongea na wagonjwa katika mijadala ya kawaida kuhusu kudhibiti kisukari na presha, mgonjwa mmoja aliuliza swali la muhimu sana.

Dr. Mimi nashangaa, ninamuiga mume wangu aina ya vyakula na kiwango lakini yeye ameweza kudhibiti ila mimi siijaweza. Tatizo nini?

Wagonjwa wengi wamekuwa wakiiga tiba ya wenzao au wakati mwengine wagonjwa wa kisukari wamekuwa wakiwapatia wengine tiba zenye manufaa kwao. Hii ni nzuri, wakati mwengine hufanya kazi. Mara nyingi tiba hii haishushi sukari kwa mwengine, haifanyi kazi.

Sababu ya muhimu ni moja. Sababu yenyewe ni rahisi kwelii na huwa tunapenda sana kuitumia kutaoa mfano. Huwa wakati mwengine tunatumia kiganja cha mkono na vidole vyake kufahamisha.

Ushaanza kufahamu? Nakupa hint, mtu huanza hivi, watu ni kama vidole...

Kama vilivyo vidole havilingani.....Ahaaaaa naona umeanza kujibu.... Binadamu pia hawafanani kwa kila kitu. Tunatofautiana. Ndiyo, tuko tofauti. Si unaona hata huazimi suruali kwa kila mtu!

Ndiyo maana dozi ya dawa kwako inaweza kushusha kisukari na kukidhibiti lakini kwa mwingine ikashusha sukari zaidi au isishushe kabisaa.

Kiwango cha chakula unachotumia kinaweza kuwa sawa kwako na kushusha sukari, lakini kwa mwingine kikasababisha sukari ipande.

Sasa toa mkono wako, angalia vidole. Sema haviko sawa. Na sisi hatuko sawa. Hivyo ninahitaji matibabu mahususi kulingana na uhitaji.

Kama umeshaamini hivi, nasi tunaamini hivi hivi ndiyo maana tukasema tukusaidie kudhibiti kisukari kwa ushauri. Tunaendelea pale hospitali ilipoishia. Tunakusindikiza na kubaki nyumbani na wewe!

Fahamu unavyoweza kushusha sukari unapojiunga na MloPlan leo.

Kwahiyo, sababu ingine ya wagonjwa kushindwa kudhibiti kisukari ni kuiga tiba ya wengine.

Endelea kunifuatilia nikupatie dondoo muhimu zitakozokuwezesha kudhibiti na kuepuka madhara ya kisukari.

Unaweza kusoma sabau zingine kwa kubonyeza HAPA

Kumbuka: Fahamu. Fuatilia. Fanya. ili uFurahia
...Mifano miingi, lakini hakuna CHOCHOTE ulichoeleza, zaidi ya Kutaka Watu wakufuate kwenye Link kupata Maelezo Yako.
Shitukeni !!
 
Hamna gani ya Kisukari mkuu, iwe ya kienyeji au za hospitals,mbaya zaidi ni za kienyeji zinaharibu FIGO zetu , usikae unywe mitishamba ni sumu kabisa , zinauwa FIGO mkuu
 
Back
Top Bottom