Safari njema mkuu huko uendako,but thread itaendelea kuwepo ili kuelimisha wengine kwenye jamii pana.Alafu mkuu nenda uchunguze ID yng haihusiani na mambo ya waganga hivyo sina muda wa kudiscuss upuuzi unaotaka kuleta hapa kwaheri.
Safari njema mkuu huko uendako,but thread itaendelea kuwepo ili kuelimisha wengine kwenye jamii pana.Alafu mkuu nenda uchunguze ID yng haihusiani na mambo ya waganga hivyo sina muda wa kudiscuss upuuzi unaotaka kuleta hapa kwaheri.
Njoo Nicheki boss dawa ipoNdugu zangu wapendwa nawasalimu wote! Niliamua kwenda kwenye moja ya hospitali zetu hapa jijini kwa ajili ya kuangalia afya! Nilitaka kujuwa afya yangu kwa ujumla kuanzia pressure,sukari,ukimwi na n.k.
Baada ya kufanyiwa vipimo ikaoneka sukari yangu iko juu kuliko matarajio hivyo nikaambiwa nirudi kesho yake ili nipimwe tena kabla ya kula.
Hata hivyo sukari ilionekana kuwa 8.4 kabla ya kula. Doctor akanipatia dawa (vidonge vyeupe) kwa description ya kula 1*2, nimetumia siku moja kwa maana nilipata ushauri wa pili ya kuwa nijaribu ku control diet na kufanya mazoezi.
Hata hivyo kuna watu wameniambia naweza pia tibia hiyo hali kwa dawa za miti shamba. Sasa nauliza je kuna mtu anafahamu ya kama kuna dawa zinazosaidia ku control au kutibu tatizo hili?
Napenda kuwakilisha.
Mfano dawa ipi imewashinda mabeberu harafu sangoma anatibu ? .Siyo kweli. Kuna dawa nyingi mabeberu zimewashinda lakini sangoma anatibu kwa muda mfupi tu.
🤣 🤣 🤣Watu hudanganywa kwa staili tofauti tofauti mkuu, na bila kutumia maarifa huangamia kwa dawa za vichochoroni.Watu wanadanganya wengine kwamba mitishamba inatibu CORONA wakati wao wameweka mashine za kupumulia nyumban na dawa za kizungu wanatumia -Hii dunia inabd watu tujiongezeMfano dawa ipi imewashinda mabeberu harafu sangoma anatibu ? .
kkunasangoma mmoja anasema anatibu HIV ila yeye anatumia ARV za beberu
nautumiaje Kaka huu mlonge,nimeona inazungumziwa sana kwa kweliMkuu, tafuta mlonge (moringa oleifera; drumstick tree). Mti huu ni dawa, kuanzia mizizi, magome, maua, mbegu,
Pia ni mti- lishe.
YESU NI MWOKOZI
Binafsi huwa ninautumia. Nimeanika majani yake ndani (sio juani) hadi yakakauka, nikayasaga yakawa unga kabisa, nachukua kijiko kimoja asubuhi nakitia kwenye mchemsho wa maji na mchaichai/au tangawizi kisha nakunywa na jioni hivyo hivyo. Mbegu zake huwa nazimenya kisha natafuna tatu tatu kila siku.nautumiaje Kaka huu mlonge,nimeona inazungumziwa sana kwa kweli
ok wacha niutafute Kaka,natakiwa kutumia continuous au Kuna dozi maalum?Binafsi huwa ninautumia. Nimeanika majani yake ndani (sio juani) hadi yakakauka, nikayasaga yakawa unga kabisa, nachukua kijiko kimoja asubuhi nakitia kwenye mchemsho wa maji na mchaichai/au tangawizi kisha nakunywa na jioni hivyo hivyo. Mbegu zake huwa nazimenya kisha natafuna tatu tatu kila siku.
JESUS IS LORD.
Hadi sukari ikiwa normal unaweza acha. Ila pia cha msingi, lifestyle lazima ibadilike kwa maana ya lishe na mazoezi ni muhimu sana.ok wacha niutafute Kaka,natakiwa kutumia continuous au Kuna dozi maalum?
ok Kaka nashukuru sanaHadi sukari ikiwa normal unaweza acha. Ila pia cha msingi, lifestyle lazima ibadilike kwa maana ya lishe na mazoezi ni muhimu sana.
Zaidi sana tumwamini Mungu aliyetuleta duniani kwa kusudi lake. Ambaye kimsingi ndiye mwenye hatima yetu.
YESU ANAOKOA.
Naulizia dawa ya bawasiri mkuu.Mimi ninaweza kumtibu kisukari alicho kuwa nacho kwa siku 90 aka miezi 3 na atapona kabisa maradhi yake.
Kisukari kinasababishwa na sumu iliyopo katika Kongoso aka Pancreatic ukiweza kusafisha kongosho umeweza kutibu maradhi ya kisukari. Hospitali Hakuna dawa ya kuwezakutibu maradhi ya Kisukari. Dawa zaasilizipo zakuweza kutibu maradhi ya kisukari ninazijuwa na watu wanatumia na kupona maradhi ya kisukari.
Lina haribu figo kwa Yale mauchunguPendelea kutafuna aloevera lioshe tafuna na maganda tema, tango usilimenye pia kula na maganda yake
Ni pm nikupe dawa mkuu usipo pona nakurudishia mshiko wakoNdugu zangu wapendwa nawasalimu wote! Niliamua kwenda kwenye moja ya hospitali zetu hapa jijini kwa ajili ya kuangalia afya! Nilitaka kujuwa afya yangu kwa ujumla kuanzia pressure,sukari,ukimwi na n.k.
Baada ya kufanyiwa vipimo ikaoneka sukari yangu iko juu kuliko matarajio hivyo nikaambiwa nirudi kesho yake ili nipimwe tena kabla ya kula.
Hata hivyo sukari ilionekana kuwa 8.4 kabla ya kula. Doctor akanipatia dawa (vidonge vyeupe) kwa description ya kula 1*2, nimetumia siku moja kwa maana nilipata ushauri wa pili ya kuwa nijaribu ku control diet na kufanya mazoezi.
Hata hivyo kuna watu wameniambia naweza pia tibia hiyo hali kwa dawa za miti shamba. Sasa nauliza je kuna mtu anafahamu ya kama kuna dawa zinazosaidia ku control au kutibu tatizo hili?
Napenda kuwakilisha.
Mkuu nitafute Kwa wakati wako ili nipate kukutibia upate kupona maradhi yako.Naulizia dawa ya bawasiri mkuu.
uko wapi kaka!!!! na dawa ni kiasi ganiNi pm nikupe dawa mkuu usipo pona nakurudishia mshiko wako
NIPO DODOMA NAWE UPO WAPI MKUU.uko wapi kaka!!!! na dawa ni kiasi gani
NIPO DODOMA NAWE UPO WAPI MKUU.
Mkuu gharama ya dawa Ni ndogo mno unaimudu. Mkuu unapona wengi hawaamini ila SUKARI INAPONA .USIPO PONA NARUDISHA PESA YAKOuko wapi kaka!!!! na dawa ni kiasi gani
nipo DAR nipe namba ya simu mkuuuHakuna dawa ya kisukari mkuu acha kupotosha watu