Ndugu nimekujibu vzr nikijua kuwa unafahamu issue za msingi.Pamoja na changamoto zote za kiuchumi nchi hii iliyopata toka serikali ya awamu ya kwanza mpaka hii tano sijawahi kusikia Jamii inakatiwa maji ama hospital inakatiwa umeme. Hoja yangu kusema nchi imefilisika ni baada ya kuona serikali imeshindwa kutoa Huduma hizi. Wananchi wanapotoa kodi hizi huduma za kwanza zinazotakiwa kutolewa na serikali. Tanesco ni mali ya serikali na Wizara ya maji ni mali ya serikali.
Serikali ya awamu ya tano imefanya mengi mazuri lakini katika uchumi total failure.
Ni kwamba Asasi chini ya Serikali zinapata mafungu yake ya budget kugharamia mambo kadhaa ikiwemo kulipia Umeme,Maji, Siuchumikadhalika. Kinachotokea ni kwamba fedha walizopewa kwa ajili ya Maji au Umeme au Simu (Ttcl) zinatumika kwa kazi nyingine na kuacha madeni yanalimbikizana. Sasa JPM ndio kaamuru kama kuna Idara 6a serikali hailipii Umeme ikatiwe kwa sababu wamekuwa wanapewa fedha wanatumia wanavyoona wao.
Kama utakumbuka Mkuu wa Majeshi juzi ametangaza kulipa tsh.billion moja kupunguza kutoka billion tatu wanazodaiwa lakini fedha zote hizo wala hawakuomba serikalini kwa sababu wamekuwa wanapewa kila mwaka wanatumia wanavyotaka.
Sasa Jeshi kukatiwa Umeme kwa kushindwa kulipia Umeme wakati fungu walishapewa sio kipimo cha mdororo wa uchumi. Ni umakini wa Tanesco na serikali.
. Lakini Rwanda kiuchumi tunawazidi