Kuna Dalili ya Serikali Kufilisika

Weka hiyo ripoti hapa
 
wewe ni mpuuzi
Mpuzi ni mtu mwenye akili finyu kama yako. Wewe unaona mashua inazama badala kuchukua Boya ujiokoe unabaki kutoa hoja za kijinga.
 
Mamlaka za Maji na kufilisika kwa Serikali kuna mahusiano gani? Acha uchochezi
 
Idara za maji zinadai Taasis nyingi za serikali malimbikizo ya ankara za maji; zikilipwa zina uwezo mkubwa tuu wa kuilipa Tanesco
 
Idara za maji zinadai Taasis nyingi za serikali malimbikizo ya ankara za maji; zikilipwa zina uwezo mkubwa tuu wa kuilipa Tanesco
Idara ya maji ni mali ya serikali na Tanesco ni mali ya serikali inakuwaje zidaiane .?
Watanzania wanalipa kodi nyingi sana ni wajibu wa serikali kutoa huduma hii bure.
 
Mamlaka za Maji na kufilisika kwa Serikali kuna mahusiano gani? Acha uchochezi
Mkiambiwa ukweli ni uchochezi, mnatakiwa kuondoa fikra za enzi za zidumu fikra za mwenyekiti. Kama serikali haijafilisika kwanini miji hiyo hakuna maji ?
 
kama mtu anajiagizia na kugawa pesa anapojisikia yeye unategemea nini?
 
Dahh unasubiria embe chini ya mchungwa soo whaaatt hata wakimwambia ndo afanyeje kama hela hazipo ni hazipo akachapishe au achimbe ardhini hakuna jipya ni kupiga perereee tuu wacha kilichopo kitumike hakitoshi jibane kuishi na uwezo uliopo kuna familia wanakula mlo mmoja jiulize kwanini ni kula kwa kile walichonacho sasa afanyeje na amekuta hazina hamna hela... acheni ushambenga na ushiranga
 
KIPINDI KILE ANAJENGA MABARABARA ALIKUWA HAJUI KIKWETE HELA ANATOA WAPI, KAZI YAKE ILIKUWA KUKREMU KILOMETERS BILA KUJUA KUPATA HELA INABIDI UTOKE NJE.

ATOKE AKASEMEZANE NA WAKOLONI TUPATE HELA YA BAJETI.

KWASASA NG'OMBE ANAYEKAMULIWA ANATOA DAMU SI MAZIWA TENA.
 
Idara ya maji ni mali ya serikali na Tanesco ni mali ya serikali inakuwaje zidaiane .?
Watanzania wanalipa kodi nyingi sana ni wajibu wa serikali kutoa huduma hii bure.
NOOOOOOOO. Hizi huduma za maji na umeme tunalipia kiasi kufidia gharama za uendeshaji; inapotokea sisi wateja tunatumia hizo huduma halafu hatulipi kwa wakati ndiposa hizo taasisi hushindwa na zenyezwe kulipia gharama zake za uendeshaji. Bahati mbaya sana wateja wabovu (wasiolipia huduma kwenye taasis za serikali) ni taasisi za serikali
 
Tunyooshe tunyooshe anco magu-mpaka watanzania akili ziwakae sawa
Nyerere alisema makabila makubwa sio ya kuwapa nchi -watu hawakuelewa maana yake bado lowassa akasema bwana yule amekuwa chini yangu mm ninamfahamu bora angekuwa mwingine watu hawaoni wala hawasikii
Mara tunataka raisi mkali-mara tunataka rais dicteta hay sasa Mungu kawapa kama mlivyohitaji.
 
Mbona hata uliyoyataja ni maendeleo na sio kana kwamba nchi inafilisika. Hiv broo mnafikiria nini mpaka mnapost hivi au ndio mihemuko ya kisiasa tu. Acheni bwana tabia hii jaman. Mbona mambo ya kuongelea ni mengi na yapo na sio kupotosha huku. Kwan wewe upo huko kagera na umeshuhudia jambo kama hili linafanyika na watu wanakufa kwa kukosa hayo maji au nchi imefirsika kweli??
 
"Mimi ni raisi nnae jiamini" " mimi huyu wakunipangia ukijaribu ndo utakua umepoteza kabisa " unategemea nini hapo mwafwaaaaaaaaaaaa " magufuli is not my president "
 
Fedha zote zikikusanywa popote zinapelekwa serikali kuu,kisha ndio wanaomba kwa ajili ya matumizi yao,sasa zinazopelekwa huko ni kidogo na hazitoshi,usishangae ukienda hata polisi au mahakamani ukaambiwa hatuna karatasi nenda nje katoe coppy,hii ndio Tanzania mpya ya viwanda
 
Sasa kama halmashauri hazipati OC unategemea walipe bili za MAJI na umeme kwa mishahara yao!
Ni ajabu sana japo ni kweli! TANESCO kuamriwa kuwakatia umeme wateja ambao hawakupewa pesa walizoomba kwa kazi hiyo kwa ukamilifu!
 
atavunja baraza ana ile kauli kuanza upya sio ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…