Tonny Kapola Gas Station
JF-Expert Member
- Aug 14, 2025
- 540
- 1,667
Hao mabinti wakivuka 25 huko ndo utaona wanaanza kutulia ili watafute maboya wa kuwaoa baada ya kutumika sana.
Wanaume mmekuwaje kwani?Tumeoa na wanachuo tunachapa pia
Ila bwana hakuna ku.ma ya namna hii, msizidishe chumvi!Hao mabinti wakivuka 25 huko ndo utaona wanaanza kutulia ili watafute maboya wa kuwaoa baada ya kutumika sana.
View attachment 3613931
Inatokeaga!Wanalombwa wengine, ww ndo unaumia 😂
Kwa ukuaji na tabia za hawa "jenzii" sidhani kama wamekuwa watu wazima wa kuweza kujisimamia kikamilifu.Katiba ibadilishwe.Umri wao wa kuitwa watu wazima uwe miaka 31.Ila una tabu sana Mkuu. Kwa nini uwapangie namna yao ya kuishi..
Wale ni watu wazima kwa kila wanachofanya wanajua faida na hasara zake.
Hakuna na ndio sababu , ukioa mwanamke wa IFM ambaye baadae atakuja kufanya kazi bank au bima , hawezi kuacha!Wadada wa IFM wanachakatwa aisee, serikali ya awamu ya 6 iingilie kati. Wasomi gani hawa?
Naomba mama yetu kipenzi toka kizimkazi aokoe hawa wake za watu watarajiwa.
Kwenye la kamari sijajua ni asilimia ngapi tupo salama!Siyo kujamiiana tu, wanafunzi wa chuo hicho wengi wana uraibu wa kamari.
Wanafunzi wana mikeka mingi ya kamari kuliko vitabu.
Njoo PM uncleKitambo sana hiyo, sasa hivi tunapambana kitaa.
Mzumbe main campus au? 😹hahaa ni vyuo vyote ndugu
Pale Mzumbe kuna group la whatsapp la mishangazi kununua vijana
Pita getini mwa chuo chochote ijumaa/jmosi usiku uone mali zinavyopakiwa na kusafirishwa
Tayari asee. One man down!Dahhh demu wangu yupo ifm
Kitaa wapii wewe? Am kiwandani Tesla ama Space X 😆😆😆Kitambo sana hiyo, sasa hivi tunapambana kitaa.
Mkuu sasa wewe mbususu zao zina kuhusu nini?Wadada wa IFM wanachakatwa aisee, serikali ya awamu ya 6 iingilie kati. Wasomi gani hawa?
Naomba mama yetu kipenzi toka kizimkazi aokoe hawa wake za watu watarajiwa.
Oyaa nisanue mkuu ILO grouohahaa ni vyuo vyote ndugu
Pale Mzumbe kuna group la whatsapp la mishangazi kununua vijana
Pita getini mwa chuo chochote ijumaa/jmosi usiku uone mali zinavyopakiwa na kusafirishwa
Main ndio. Mimi mtazamaji tu, sijawahi kuhusika.Mzumbe main campus au? 😹
Wewe nawe walikununua?