mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,390
- 75,807
hahaa nimeishia kwenye kuchoma chipsi.Kitaa wapii wewe? Am kiwandani Tesla ama Space X 😆😆😆
hahaa nimeishia kwenye kuchoma chipsi.Kitaa wapii wewe? Am kiwandani Tesla ama Space X 😆😆😆
Kichwa cha habari WANAJAMIIANA lkn maelezo yanalenga WANAJAMIANA.Wadada wa IFM wanachakatwa aisee, serikali ya awamu ya 6 iingilie kati. Wasomi gani hawa?
Naomba mama yetu kipenzi toka kizimkazi aokoe hawa wake za watu watarajiwa.
😁😅😅🙌kama jamii moja with common interests,
nadhani kutegemeana katika masuala mbalimbali ya kijamii ikiwa ni pamoja na kujamiina ni suala la kawaida na haliepukiki gentleman.
ni muhimu sana wakaongezewa vifaa vya kiusalama kwa kazi hiyo ya kujamiina kwa usalama 🐒
Wanaume Wana vibamia🤣🤣Hao mabinti wakivuka 25 huko ndo utaona wanaanza kutulia ili watafute maboya wa kuwaoa baada ya kutumika sana.
View attachment 3613931
Anataka zinaaa ikomeshweIla una tabu sana Mkuu. Kwa nini uwapangie namna yao ya kuishi..
Wale ni watu wazima kwa kila wanachofanya wanajua faida na hasara zake.
Hatari mkuu ,"Drum" aka "NYAYA" aka "GRIDI" aka "MINYENYERE" aka "JULIANA" aka "NGOMA" aka "UMEME" usikie tu kwa mwingine na usiombee kukutwa na BWANA PEPSI.Wanaukwepa UKIMWI kwa wivu mkubwa ,moto usikie kwa wengine mkuu
Tulikuwa tunaambiwa kuna watoto wa mama Salma.Waya siku hizi watu wanauchukulia poa sana mkuu. Miaka flan mke mmoja wa raisi alikiwa anafadhili wanafunzi waliozaliwa na moto mitaa iyo, CBE, IFM, UDOM, Mipango walikuwa kibao.
Noma sana mkuuHatari mkuu ,"Drum" aka "NYAYA" aka "GRIDI" aka "MINYENYERE" aka "JULIANA" aka "NGOMA" aka "UMEME" usikie tu kwa mwingine na usiombee kukutwa na BWANA PEPSI.
Jirani we ukiona itawezekana?Anataka zinaaa ikomeshwe
Tabu kweli kweliJirani we ukiona itawezekana?
Kwenye changanyikeni kuna baadhi ya mambo ni kuyaacha tu yaende yanavyokwenda.
Aah! Jirani acha hizo.Tabu kweli kweli
Mimi nataka binti yangu nimuozeshe ndio aende chuo
Si Naona hapo kwamba huko chuo kikuu zinaaa ni nyingi.Aah! Jirani acha hizo.
Kisa?
Hiyo michezo wameanza lini mbona enzi zetu sisi ndo tulikuwa tunagonganisha mabuzi.!! 😹😹Main ndio. Mimi mtazamaji tu, sijawahi kuhusika.
Punguza umalaya mjomba 😹Oyaa nisanue mkuu ILO grouo
🤣🤣🤣🤣Wadada wa IFM wanachakatwa aisee, serikali ya awamu ya 6 iingilie kati. Wasomi gani hawa?
Naomba mama yetu kipenzi toka kizimkazi aokoe hawa wake za watu watarajiwa.
Nipo mtaani, mimi winga mwenzio sasa hivi.Hiyo michezo wameanza lini mbona enzi zetu sisi ndo tulikuwa tunagonganisha mabuzi.!! 😹😹
Mshamba sasa hivi upo Mzumbe kwani?
Nataka nikupe machimbo ya watoto wakali..!!