muite carlos akupe text za kumuactivate hahahadu text nazo zinahitaj mvuto
saiv nafanya ivo sema ukikaa muda mrefu pia ataona huna umuim ndo maana umevungaTatizo ulifanya haraka kumcheki baada ya kupewa namba,ungekaa hata wk ungemcheki angekuwa active hadi kero,kisaikolojia alijua tu lazima ungemcheki siku hyò na ww kiherehere umemchek kweli
Broo tafuta kama elfu 100,000Juzi bana katika harakati zangu za kutafuta mchele nikabahatika kukutana na mtoto mzuri kwenye daladala, stori za hapa na pale mara paaaap!
Nikaomba namba mtoto akanipa lakini naona ayupo ACTIVE shida itakuwa nini apo au anataka kubembelezwa?
umsuprize nayakutolea fasta na automatically atakuwa activatedJuzi bana katika harakati zangu za kutafuta mchele nikabahatika kukutana na mtoto mzuri kwenye daladala, stori za hapa na pale mara paaaap!
Nikaomba namba mtoto akanipa lakini naona ayupo ACTIVE shida itakuwa nini apo au anataka kubembelezwa?