Kuna 'bifu' linaloendelea kati ya Madee na Afande Sele?

mfukunyunzi

Senior Member
Mar 4, 2011
142
26
Nimekuwa nikiufuatilia huu muziki wa bongo fleva kwa muda sasa na katika kusikiliza kwangu baadhi ya nyimbo za Hamad 'Madee' aka Rais wa Manzese na Selemani Msindi 'Afande Sele' aka Mfalme sele, nimeona kama hawa wasanii wana 'bifu' la chini chini linaloendelea.
Kwa mfano:
1. Madee ana nyimbo inaitwa 'jinsi game inavyochange' kashirikiana na Godzilla na kuna mstari godzila anasema 'nyimbo zenu (hip hop) hazina swagga halafu mnang'ang'ania airtime' kisha Madee akamalizia kwa kusema 'Nadhani unamaanisha yule mwenye rasta rasta' pia ndani ya wimbo huo huo kuna mstari Madee anasema 'bado hujaona mfalme mwenye rasta chafu? (bado)'.
2. Kwa upande wa Afande Sele ana wimbo unaitwa 'Kingdom' kuna mstari unasema 'hip hop itakulipa vipi wakati unaimba matusi, unatukana ma-ras, unadiss waasisi halafu bado unadiriki kujiita rais wakati huna hata ofisi labda ni rais wa huko kwenu uwanja wa fisi'
3. Madee ana nyimbo mpya inaitwa 'nisikilize' ambayo ndani yake kuna msitari unasema 'yule mkulima alidai eti namgeza, alitamba zamani miaka hii hajaweza, anaumia kwanini mwanzo alicheza, hawezi kuosha nywele ana uhaba wa fedha'
Na kama kuna 'bifu' baina ya wawili hawa sijui chanzo ni nini?
 
Serikali itusumbue kichwa,umasikini,maradhi na ujinga navyo vituzomee halafu tuache mambo ya msingi tuanze kuumiza vichwa "eti fulani hampendi/ana chuki na fulani" ili iweje!...Madee akikua ataacha! mwenye busara mara nyingi huchagua jibu la upole!
 
Serikali itusumbue kichwa,umasikini,maradhi na ujinga navyo vituzomee halafu tuache mambo ya msingi tuanze kuumiza vichwa "eti fulani hampendi/ana chuki na fulani" ili iweje!...Madee akikua ataacha! mwenye busara mara nyingi huchagua jibu la upole!

:amen:
:amen:
:amen:
 
Nimekuwa nikiufuatilia huu muziki wa bongo fleva kwa muda sasa na katika kusikiliza kwangu baadhi ya nyimbo za Hamad 'Madee' aka Rais wa Manzese na Selemani Msindi 'Afande Sele' aka Mfalme sele, nimeona kama hawa wasanii wana 'bifu' la chini chini linaloendelea.
Kwa mfano:
1. Madee ana nyimbo inaitwa 'jinsi game inavyochange' kashirikiana na Godzilla na kuna mstari godzila anasema 'nyimbo zenu (hip hop) hazina swagga halafu mnang'ang'ania airtime' kisha Madee akamalizia kwa kusema 'Nadhani unamaanisha yule mwenye rasta rasta' pia ndani ya wimbo huo huo kuna mstari Madee anasema 'bado hujaona mfalme mwenye rasta chafu? (bado)'.
2. Kwa upande wa Afande Sele ana wimbo unaitwa 'Kingdom' kuna mstari unasema 'hip hop itakulipa vipi wakati unaimba matusi, unatukana ma-ras, unadiss waasisi halafu bado unadiriki kujiita rais wakati huna hata ofisi labda ni rais wa huko kwenu uwanja wa fisi'
3. Madee ana nyimbo mpya inaitwa 'nisikilize' ambayo ndani yake kuna msitari unasema 'yule mkulima alidai eti namgeza, alitamba zamani miaka hii hajaweza, anaumia kwanini mwanzo alicheza, hawezi kuosha nywele ana uhaba wa fedha'
Na kama kuna 'bifu' baina ya wawili hawa sijui chanzo ni nini?

.......kwahiiyoo...????
 
wote wapuuzi hao,mabifu ya nini wakati utuuzima unawanyemelea,wote walikuwa zamani hata huyo madee ashukuru media zinambeba hana lolote,anaimba kama hana pumzi
 
kama they are doing business that is ok but if is just the way of expressing themselves ,,,,,,,,and kind of superiority win they are all stupity,,,,,stupity as non school folks.......sidhani kama kuna faida ya kurumbana kwa kutukanana sioni kama kuna tija ...kuna sehemu /nyanja nyingi za kuimba kuiwakilisha jamiii...tuna matatizo ya uongozi rushwa,maji umeme ukimwi kwa nini mrumbane wanamuziki???????? elimu zao nazo n tatizo naomba anayejua elimu ya madee na sele
 
kama they are doing business that is ok but if is just the way of expressing themselves ,,,,,,,,and kind of superiority win they are all stupid,,,,,stupid as non school folks.......sidhani kama kuna faida ya kurumbana kwa kutukanana sioni kama kuna tija ...kuna sehemu /nyanja nyingi za kuimba kuiwakilisha jamiii...tuna matatizo ya uongozi rushwa,maji umeme ukimwi kwa nini mrumbane wanamuziki???????? elimu zao nazo n tatizo naomba anayejua elimu ya madee na sele
kakakakakakakakakakakakakak
 
hii...nisababu mojaa wapo inasababisha mziki wa bongo aka ubongo wa fleva usiendelee mbele...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom