Kuna baadhi ya Polisi wana njaa sana

Kuna baadhi ya Polisi wana njaa sana

Vanclassic

Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
88
Reaction score
200
Aisee hili taifa Lina polisi njaa sana
Jana mida saa mbili usiku nilikuwa Nina mzigo flani nikataka niufunge kwenye piki piki bahat mbaya mpira ukakatika

Nikatoka kwenda kununua duka flan si mbali sana, ile nimepaki piki piki ghafla nikazungukwa na mapolisi wapo 5 huku wawili wameshika bunduki dah

Wakaniuliz kwanin Sina helment nikawaambia nimesahau nyumban.. mmoja akaichukua pik pik akaondoka nayo pembeni kidgo. Mwingine akaniita pembeni eti unajua ni kosa kubwa San kutovaa kofia ngumu.

Apo apo akaniambia sa ndgu tunafanyaje kulimaliza hili tusifike mbali😂nikawapa elfu kum wakaniachia.

Katika wale polisi mmoja wapo alikuwa ana vv mbili begano. Sasa najiuliza kweli elfu kumi wana gawana kundi la watu ote hao
 
Katika wale polisi mmoja wapo alikuwa ana vv mbili begani😂😂😂. Sasa najiuliza kweli elfu kumi wana gawana kundi la watu ote hao
Kidogokidogo hujaza kibaba.... Kuna wewe, mimi na yule.

Mimi nitaweka matuta, wewe utamnunulia bando, yule atampa hela ya mboga ya familia na mshahara wake atadunduliza apate vyumba viwili kibiti
 
Njaa kali, wanadhani hicho kitengo ni cha kuponea njaa zao. Mpaka buku tano wanachukua kiroho safi tu na mnaachana salama
 
Aisee hili taifa Lina polisi njaa sana😆
Jana mida saa mbili usiku nilikuwa Nina mzigo flani nikataka niufunge kwenye piki piki bahat mbaya mpira ukakatika

Nikatoka kwenda kununua duka flan si mbali sana, ile nimepaki piki piki ghafla nikazungukwa na mapolisi wapo 5 huku wawili wameshika bunduki dah

Wakaniuliz kwanin Sina helment nikawaambia nimesahau nyumban.. mmoja akaichukua pik pik akaondoka nayo pembeni kidgo. Mwingine akaniita pembeni eti unajua ni kosa kubwa San kutovaa kofia ngumu.😂😂

Apo apo akaniambia sa ndgu tunafanyaje kulimaliza hili tusifike mbali😂😂.. nikawapa elfu kum wakaniachia.... Katika wale polisi mmoja wapo alikuwa ana vv mbili begani😂😂😂. Sasa najiuliza kweli elfu kumi wana gawana kundi la watu ote hao
Kutokuvaa helment nikosa kisheria na kama ingetekelezwa adhabu yake ni Tsh 30,000. Kipi bora sasa.

Afu tusijizimi data bana sio kila kitu kulaumu police, hv kweli policy wafuate sheria za barabaran ipasavyo Raia si tutalalamika sana. Kwa hizo road kumejaa migari mibovu kibao, zisizo na nyaraka ndio usiseme na haswa bodaboda kuto kutii sheria nikawaida kwao
 
Ulifanya vzr kuwapa, ungezinda ungejabidhiwa smg mojawapo unapewa kichwa Cha utekaji wa treni
 
Kutokuvaa helment nikosa kisheria na kama ingetekelezwa adhabu yake ni Tsh 30,000. Kipi bora sasa.

Afu tusijizimi data bana sio kila kitu kulaumu police, hv kweli policy wafuate sheria za barabaran ipasavyo Raia si tutalalamika sana. Kwa hizo road kumejaa migari mibovu kibao, zisizo na nyaraka ndio usiseme na haswa bodaboda kuto kutii sheria nikawaida kwao
Makosa ya bodaboda, bajaj na maguta fine zake ni 10,000. Ni bora angewaambia wamuandikie akalipe iliwe na serikali kuu.
 
Kutokuvaa helment nikosa kisheria na kama ingetekelezwa adhabu yake ni Tsh 30,000. Kipi bora sasa.

Afu tusijizimi data bana sio kila kitu kulaumu police, hv kweli policy wafuate sheria za barabaran ipasavyo Raia si tutalalamika sana. Kwa hizo road kumejaa migari mibovu kibao, zisizo na nyaraka ndio usiseme na haswa bodaboda kuto kutii sheria nikawaida kwao
Umeletewa leseni nyumbani mkuu fine ya Bajaji na boda ni moja tu Tsh 10,000.
 
Umenikumbusha kuna raia mmoja ni content creator wa youtube mwanamke anasafiri na pikipiki alifika sijui ghana au naijeria sikumbuki basi polisi waka msimamisha na kusifia pikipiki ila wakadai kosa lake hii pikipiki ijaruhusiwa na serikali kutumika wanataka pesa.
Kumbe walikuwa wanarekodiwa
 
Aisee hili taifa Lina polisi njaa sana😆
Jana mida saa mbili usiku nilikuwa Nina mzigo flani nikataka niufunge kwenye piki piki bahat mbaya mpira ukakatika

Nikatoka kwenda kununua duka flan si mbali sana, ile nimepaki piki piki ghafla nikazungukwa na mapolisi wapo 5 huku wawili wameshika bunduki dah

Wakaniuliz kwanin Sina helment nikawaambia nimesahau nyumban.. mmoja akaichukua pik pik akaondoka nayo pembeni kidgo. Mwingine akaniita pembeni eti unajua ni kosa kubwa San kutovaa kofia ngumu.😂😂

Apo apo akaniambia sa ndgu tunafanyaje kulimaliza hili tusifike mbali😂😂.. nikawapa elfu kum wakaniachia.... Katika wale polisi mmoja wapo alikuwa ana vv mbili begani😂😂😂. Sasa najiuliza kweli elfu kumi wana gawana kundi la watu ote hao
Wewe ni mjinga.
 
Kutokuvaa helment nikosa kisheria na kama ingetekelezwa adhabu yake ni Tsh 30,000. Kipi bora sasa.

Afu tusijizimi data bana sio kila kitu kulaumu police, hv kweli policy wafuate sheria za barabaran ipasavyo Raia si tutalalamika sana. Kwa hizo road kumejaa migari mibovu kibao, zisizo na nyaraka ndio usiseme na haswa bodaboda kuto kutii sheria nikawaida kwao
Sheria ya wapi hyo 30,000?

Sheria huanzia juu kushuka chini....mbna wao polis wanaendesha vyombo vya moto bila kufata sheria
 
Kutokuvaa helment nikosa kisheria na kama ingetekelezwa adhabu yake ni Tsh 30,000. Kipi bora sasa.

Afu tusijizimi data bana sio kila kitu kulaumu police, hv kweli policy wafuate sheria za barabaran ipasavyo Raia si tutalalamika sana. Kwa hizo road kumejaa migari mibovu kibao, zisizo na nyaraka ndio usiseme na haswa bodaboda kuto kutii sheria nikawaida kwao
Kwahy kipi Bora turuhusu kutoa na kupokea rushwa ili turuhusu uzembe kuendelea kushamiri au tusimamie sheria ili kuokoa maisha ya wengine?
 
Aisee hili taifa Lina polisi njaa sana😆
Jana mida saa mbili usiku nilikuwa Nina mzigo flani nikataka niufunge kwenye piki piki bahat mbaya mpira ukakatika

Nikatoka kwenda kununua duka flan si mbali sana, ile nimepaki piki piki ghafla nikazungukwa na mapolisi wapo 5 huku wawili wameshika bunduki dah

Wakaniuliz kwanin Sina helment nikawaambia nimesahau nyumban.. mmoja akaichukua pik pik akaondoka nayo pembeni kidgo. Mwingine akaniita pembeni eti unajua ni kosa kubwa San kutovaa kofia ngumu.😂😂

Apo apo akaniambia sa ndgu tunafanyaje kulimaliza hili tusifike mbali😂😂.. nikawapa elfu kum wakaniachia.... Katika wale polisi mmoja wapo alikuwa ana vv mbili begani😂😂😂. Sasa najiuliza kweli elfu kumi wana gawana kundi la watu ote hao
Watakamata mwingine na mwingine wote hao watatozwa rushwa mpaka mgao ukae sawa
 
zile zinakusanywa kisha baada ya zoez kukamilika, 1 + 2 + 3 = 5

Alozikusanya nae anasalia na noti moja, kuna namna unaweka solotape kwenye mfuko wa suruali inanasia noti moja
 
Kutokuvaa helment nikosa kisheria na kama ingetekelezwa adhabu yake ni Tsh 30,000. Kipi bora sasa.

Afu tusijizimi data bana sio kila kitu kulaumu police, hv kweli policy wafuate sheria za barabaran ipasavyo Raia si tutalalamika sana. Kwa hizo road kumejaa migari mibovu kibao, zisizo na nyaraka ndio usiseme na haswa bodaboda kuto kutii sheria nikawaida kwao
Sio elfu 10?
 
Aisee hili taifa Lina polisi njaa sana😆
Jana mida saa mbili usiku nilikuwa Nina mzigo flani nikataka niufunge kwenye piki piki bahat mbaya mpira ukakatika

Nikatoka kwenda kununua duka flan si mbali sana, ile nimepaki piki piki ghafla nikazungukwa na mapolisi wapo 5 huku wawili wameshika bunduki dah

Wakaniuliz kwanin Sina helment nikawaambia nimesahau nyumban.. mmoja akaichukua pik pik akaondoka nayo pembeni kidgo. Mwingine akaniita pembeni eti unajua ni kosa kubwa San kutovaa kofia ngumu.😂😂

Apo apo akaniambia sa ndgu tunafanyaje kulimaliza hili tusifike mbali😂😂.. nikawapa elfu kum wakaniachia.... Katika wale polisi mmoja wapo alikuwa ana vv mbili begani😂😂😂. Sasa najiuliza kweli elfu kumi wana gawana kundi la watu ote hao
😂😂😂
 
Back
Top Bottom