Abti
Senior Member
- Feb 27, 2025
- 101
- 183
Baada ya miaka kadhaa ya malalamiko kila mtu atafata sheria bila shuruti..tutaanza kujiita tuko civilized kumbe ni sheria zimeswitch watuKutokuvaa helment nikosa kisheria na kama ingetekelezwa adhabu yake ni Tsh 30,000. Kipi bora sasa.
Afu tusijizimi data bana sio kila kitu kulaumu police, hv kweli policy wafuate sheria za barabaran ipasavyo Raia si tutalalamika sana. Kwa hizo road kumejaa migari mibovu kibao, zisizo na nyaraka ndio usiseme na haswa bodaboda kuto kutii sheria nikawaida kwao