supercharger GT
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,007
- 1,944
Ticket lazma uwe nayo, ingawa hwakagui sana, wanaangalia mkoa ulotoka halaf wanakulipa pesa ya luxury bus hata kama ulipanda pundakwa hiyo nitunze ticket mkuu?
Ticket lazma uwe nayo, ingawa hwakagui sana, wanaangalia mkoa ulotoka halaf wanakulipa pesa ya luxury bus hata kama ulipanda pundakwa hiyo nitunze ticket mkuu?
Ofisi zao zipo Msasani, ila sana sana wanapatikana zaidi kwa namba za cm, ofisini utakuta wazungu tu ambao watakudirect kwa jamaa anaitwa mcharo,Hivi ofisi zao ziko wapi ili na sisi twende tupeleke CV zetu pale