Kuna anaewafahamu hawa watu anipe ABC zao?

Kuna anaewafahamu hawa watu anipe ABC zao?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
13,965
Reaction score
26,152
Kwema wakuu
Niliona hizi kazi mtandaoni, na kwa vile nilikua na sifa nikaomba.so wamenialika kwenye usaili,ila sijawajua vizuri wanadeal na kitu gan exactly. So naomba mwenye kujua abc zao afunguke hapa.
Shukran
 

Attachments

  • Screenshot_20220624-033934_Gmail.jpg
    Screenshot_20220624-033934_Gmail.jpg
    44.8 KB · Views: 22
Sales manager!sio mchezo
Kila la heri mkuu, mimi hao jamaa siwajui
 
Kwema wakuu
Niliona hizi kazi mtandaoni, na kwa vile nilikua na sifa nikaomba.so wamenialika kwenye usaili,ila sijawajua vizuri wanadeal na kitu gan exactly. So naomba mwenye kujua abc zao afunguke hapa.
Shukran
Ni matapeli kimbia
 
Ina maana wewe uliomba kuwa sales manager was nini?

Kama hujui wanafanya nini na hujawahi kuwa sales jiandae kugongwa maswali komki na moja wapi watataka kujua strategy gani utatumia kuwauza.

interview ya kwanza inaweza kuwa simple kwa ajiri ya kukuchuja zaidi.

Cha msingi ingia mtandaoni home kama wapo kama hakuna hakikisha unamuuliza huyo juliana wanafanya shughuli gani
 
Ina maana wewe uliomba kuwa sales manager was nini?

Kama hujui wanafanya nini na hujawahi kuwa sales jiandae kugongwa maswali komki na moja wapi watataka kujua strategy gani utatumia kuwauza.

interview ya kwanza inaweza kuwa simple kwa ajiri ya kukuchuja zaidi.

Cha msingi ingia mtandaoni home kama wapo kama hakuna hakikisha unamuuliza huyo juliana wanafanya shughuli gani
Noted
 
Nadhani umeleta huku ili kujipa ujiko tu kuwa nawe uko levels za umeneja.ila kiuhalisia huwezi kuomba kazi kwenye kampuni usiyojua hata inahusika na nini.
Anyway hiyo ni fintech company,wanahusika na kutengeneza apps zinazotumiwa na salespeople wa makampuni kutrack stock kwenye store zao na kuweka records za wateja.
Kuhusu maslahi yao sijui kwa kweli.
 
Hata website hawana ili upate ABC's? Ila hongera na endelea na michakato yote hadi ikitokea umeombwa hela or chochote unusual ndiyo ukimbie speed. All the best
 
Hio Ni recruiting agency wamekupa mchongo company utaijua uendako kila rakher
 
Back
Top Bottom