Emma Mnyama
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 201
- 183
Huyu Dj namkubali sanaa, anajua anachokifanya.
-Anaepuka matusi kwenye kazi.
-Sauti yake inavutia kusikiliza.
-Anatoa ushauri wa kimaisha anapotafsiri movie
Na mengine mengi.
Binafsi nampa nafasi ya kwanza. Ya pili nampa DJ Afro
-Anaepuka matusi kwenye kazi.
-Sauti yake inavutia kusikiliza.
-Anatoa ushauri wa kimaisha anapotafsiri movie
Na mengine mengi.
Binafsi nampa nafasi ya kwanza. Ya pili nampa DJ Afro