ahh wapi hicho cha wenyewe wenye imani zao,kina sie tuso na imani miaka 104hivi unajua kiama kimepangwa tena mwisho wa mwezi?
ahh wapi hicho cha wenyewe wenye imani zao,kina sie tuso na imani miaka 104hivi unajua kiama kimepangwa tena mwisho wa mwezi?
heheeh hapo red! zawadi ya besdei lazima tukuletee ugoro.ahh wapi hicho cha wenyewe wenye imani zao,kina sie tuso na imani miaka 104
Nimewahi kuwa na wapenzi kwa nyakati tofauti katika nchi kadhaa za kiafrika na Ulaya. kuwa wazi zaidi ni kwamba wapenzi hao wanafikia wanane. watano Wazungu na watatu waafrika.
Miongoni mwa hao sita [4whites and 2brown] wamewahi kunitolea expression moja ambayo hadi leo sielewi why and it was very natural!
Wakti fulani [ once or twice] baada ya kufanya mapenzi walitokea kusema AHSANTE! nlipouliza kwanini anashukuru mara zote hawasemi!!
1. Je, sababu ni nini?
2. Je, wanakuwa wanashukuru kweli?
3. Je, wanakuwa wameshukuru kutoka moyoni?
4. Kwa nini aiwi wakti wote mnapomaliza?
khaaa! hii kashfa sasa, kama naambiwa mimi hakyababu nabadilisha IDna yule aliyekwambia una kibamia mbona ausemi?
na yule aliyekwambia una kibamia mbona ausemi?
Sio kweli kwamba wnawake wote wanaosema asante ni kwamba wametoshelezwa. mara zote nilikuwa nasema asante kama ni njia moja tu ya kumpa hope na asijisikie vibaya lakini huku nikiwa bado mzitooooooooooooooo.
anyway sijawahi kupata raha lakini nasema asante
ugoro wala gozo vitakuwa havipandi...ntakuwa mtata sana hahahahahaha!heheeh hapo red! zawadi ya besdei lazima tukuletee ugoro.
Dah! hiyo age ukiifikiria inazingua kweli aisee! yaani age hiyo chumvini hakuendeki tena, na mshopododo kuusimamisha labda utumie maji ya betri ya lorry. khaaa!ugoro wala gozo vitakuwa havipandi...ntakuwa mtata sana hahahahahaha!
hahahaha acha woga weye,una namna zakeDah! hiyo age ukiifikiria inazingua kweli aisee! yaani age hiyo chumvini hakuendeki tena, na mshopododo kuusimamisha labda utumie maji ya betri ya lorry. khaaa!
Asha D unaupendeleo mbona umeipenda hii, wakati BW nae anajifagilia wakati mtoa mada ulimwambia hasijifagilie!
Mhhhhh! kwa maneno tu Asha! mie sitii neno!
Bak jamani... hilo neno kila mtu anajua... mbona Asante simple tu?? au nilikosea...??
Kweli kabisa Asha hakupindisha hata neno moja!