Nelly Huyu
Member
- Mar 31, 2011
- 35
- 3
Huyu **** inaonyesha Hajawahi kufurahisha mwanamke, na ameshapata nyepesi nyepesi za chumbani kuwa mtu ukimfurahisha mwanamke lazima akushkuru. sasa huyu jamaa nafikiri anataka kujua HOW IT FEELS WHEN A WOMAN SAY THAT TO YOU. Nitakuambia leo.....IT FEELS GREAT....Kwasababu kazi ulipewa, au uliyokuwa unafanya imekamilika...hakuna mwanaume asiyependa kukamilisha kazi ila ni majaliwa bro...Punguza Umalaya kuwa na mpenzi mmoja unayempenda, punguza ulevi..usiwe mbinafsi kwenye tendo la ndoa..sikilizia kila pigo au mhemo, anapopenda mwenza wako kushikwa shika ukifanya haya neno ASANTE LITAKUWA LA KAWAIDA KWAKO..MWISHO USIWE **** KUTUULIZA MASWALI AMBAYO MAJIBU UNAYO HUMU.