Kuna aliyewahi kukutana na hii hali?

mnh...asante,mbona neno linajieleza/linajitosheleza unataka ufafanuzi gani tena?....unataka tuwe wanajimu humu kama shehe yahya tukuambie kama zinatoka moyoni au la????:biggrin1:

Kidogo nipitilize ila wewe umenivutia!!
 
Huna adabu!! ungeandika hapo juu kwnye kichwa ch habari kw wanawake tu ......km we hujui c 2tajuaje f**k u.
 
Tutaunda kamati ya watu sita Pauline,Sweetlady,Asha D,Mimi,Klorokwini na The Finest kuijadili mada yako na baada ya mjadala wa siku 3(kwa gharama yako) tutakupa jibu ila inabidi tupate angalau hao wahusika hata 3 tuwahoji kukamilisha ripoti hii.
 
huku mie nimepotea njia. narudi kwenye tekenelojiaaaa........
 
Tutaunda kamati ya watu sita Pauline,Sweetlady,Asha D,Mimi,Klorokwini na The Finest kuijadili mada yako na baada ya mjadala wa siku 3(kwa gharama yako) tutakupa jibu ila inabidi tupate angalau hao wahusika hata 3 tuwahoji kukamilisha ripoti hii.
sred klosed.

halaf kamanda umeshtukia memba wa JF wanavyoogopa kifo? Leo JF nzima tuko mimi na wewe na chetuntu tu, wengine wote wamekimbia kiama, hata mods wamesepa, kama huamini watukane na utaona hata ban hupigwi.
 
sred klosed.

halaf kamanda umeshtukia memba wa JF wanavyoogopa kifo? Leo JF nzima tuko mimi na wewe na chetuntu tu, wengine wote wamekimbia kiama, hata mods wamesepa, kama huamini watukane na utaona hata ban hupigwi.
Kifo mchezo kloro ? Mnajimu Yahaya alitabiri mtu maarufu atakufa kabla ya mwezi wa sita kumbe anatabiri kifo chake kudadadeki hahaha! wallisema mwisho wa dunia 21-22 sasa Australia wanamaliza 22,May hamna cha mwisho wala karibu na mwisho lol!
 
Kifo mchezo kloro ? Mnajimu Yahaya alitabiri mtu maarufu atakufa kabla ya mwezi wa sita kumbe anatabiri kifo chake kudadadeki hahaha! wallisema mwisho wa dunia 21-22 sasa Australia wanamaliza 22,May hamna cha mwisho wala karibu na mwisho lol!
Hapa naskiliza habari live zinasema mauzo ya gesti yalipungua kweli leo, kulaleki! halaf kuna mdada tunatongozana daily lakini leo kagoma kujibu PM eti tuheshim kiama. hakyababu member wa JF waoga. Lizzy wenyewe na husninyo na michelle habari za kuaminika wameonekana nyumba za ibada za walemavu wakati wao hawana ulemavu wowote. Kamanda hatuna majeshi hapa JF tuna wapiga zogo tu
 
Hapa naskiliza habari live zinasema mauzo ya gesti yalipungua kweli leo, kulaleki! halaf kuna mdada tunatongozana daily lakini leo kagoma kujibu PM eti tuheshim kiama. hakyababu member wa JF waoga. Lizzy wenyewe na husninyo na michelle habari za kuaminika wameonekana nyumba za ibada za walemavu wakati wao hawana ulemavu wowote. Kamanda hatuna majeshi hapa JF tuna wapiga zogo tu
Kuna njemba Kenya kauza kila kitu na kupeleka kanisani u kanti bilivu na ana familia ya watu 9 sijui kesho watakula nini au labda kanisa limrudishie hata nusu hasara.Hus yupo na Liz atatia timu muda si mrefu ni mida yake,Michelle kawa filosofa siku hizi namsalimia kwa mbali.
 
Nimewahi kuwa na wapenzi kwa nyakati tofauti katika nchi kadhaa za kiafrika na Ulaya. kuwa wazi zaidi ni kwamba wapenzi hao wanafikia wanane. watano Wazungu na watatu waafrika.
Miongoni mwa hao sita [4whites and 2brown] wamewahi kunitolea expression moja ambayo hadi leo sielewi why and it was very natural!
Wakti fulani [ once or twice] baada ya kufanya mapenzi walitokea kusema AHSANTE! nlipouliza kwanini anashukuru mara zote hawasemi!!
1. Je, sababu ni nini?
2. Je, wanakuwa wanashukuru kweli?
3. Je, wanakuwa wameshukuru kutoka moyoni?
4. Kwa nini aiwi wakti wote mnapomaliza?

Unanshangaza! unataka tuchangie kwenye uzinzi wako? una nini wewe! wafanya dhambi halafu wajisifu?
 
Khakhakhakhaaaaa duh!!! jama wamejichanganya na walemavu ibadani? hii kali. kisa kiama.
 
Tutaunda kamati ya watu sita Pauline,Sweetlady,Asha D,Mimi,Klorokwini na The Finest kuijadili mada yako na baada ya mjadala wa siku 3(kwa gharama yako) tutakupa jibu ila inabidi tupate angalau hao wahusika hata 3 tuwahoji kukamilisha ripoti hii.
Hahahaha! Uporoto01, wahusika ni wadhungu bana, sina hakika kama wanajua kiswahili, itabidi utafute na mkaliman kabisa ili wakati wa kuwahoji tusipate shida...lol..
 
Siku zote mwanamke yeyote duniani hata angekuwa na roho mbaya kiasi gani ukimfikisha kileleni (ukimkojolesha) lazima aseme asante!! Tena anapolitoa neno hilo huwa mpole huku machozi yafuraha yakimlenga!

Namshukuru mungu kazi hiyo yakumfikisha mwanamke naiweza!!!!

Asha D unaupendeleo mbona umeipenda hii, wakati BW nae anajifagilia wakati mtoa mada ulimwambia hasijifagilie!
 
sasa kama umeshndwa kujibiwa na hao baada ya kuduu nao cc tutasema nini jaman mh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom