Kumwambia mwanamke 'FANYA MAARIFA'

ishu hapa ni je hii haiwezi kuwa kisingizio kwa baadhi ya wanawake...?

Wanawake weengi tumekua jeuri... na tumesahau kua uthamani wetu kama wanawake huja pale ambapo wajistahi wewe mwenyewe... Mumeo na ndoa yenu. Wengi saana tunadhani kua tunapotongozwa huko nje hali tuna waume baasi ni wazuri saana na kwamba waume wetu wana bahati they have us (tukisahau kabisa kua majority ya wanaume akilala na wewe hali una mume; hata siku moja hatakuja kuheshimu, labda ni exceptional situations); Hivo inapotokea mwanaume anamuambia mkewe mwenye low morals fanya maarifa (na alipania kutoka nje) - yaweza mpa sababu na akawa careless kabisa in the pretense kua karuhusiwa. Lakini kwa mwanamke mwerevu atajua kua mume wake kakwama na kwamba kamthamini kiasi cha kua wazi na kuweka hilo tatizo katika mikono yake (kua Him as a Husband anamuamini na kumheshimu mkewe kua with her intellegence aweza tatua tatizo hilo kwa kutumia maarifa ambayo haijumuishi kwenda kulalwa na mwanume mwingine).

na je ni sahihi kwa mwanaume kumwambia mkewe 'fanya maarifa'??

I am old fashioned... Hivo naweza jibu kua logically No! haitakiwi aseme kua "fanya maarifa" labda mimi as a wife nikiona mambo yamekwama kabisa na yaenda mrama ndio nimwambie kua wacha nifanye maarifa mume wangu. Realistically Yes! Maisha yamechange saana, ni gharama na it is taking toil katika families mbali mbali wake kwa waume... Ndoa saizi for it to suceed inatakiw muishi kama partner... na a partner is free to tell a fellow partner afanye maarifa. Hivo hapo kwa upande wangu ni sahihi kabisa. Ila hata hivo huyo mume awe anamfahamu vema mke wake her stamina/Intelligence na creativity katika kusolve matatizo.... Ni vigumu saana wewe mkeo sio mchakalikaji, ni dependent (alafu hajahaliwa akili ya akiba - kama vile utunzaji; waweza msoma thru the way a handle chakula, nguo, vifaa vya nyumba, makazi) kumwambia fanya maarifa... Kwa kweli inatakiwa umakini saana kuweza toa kauli kama hizo kwa mkeo....

Boss narudia Good nite.... Naomba usiniulize tena swali...lol
 
Inategemea kua hio shida ni of what nature.... Kuna ile kama inahusiana na chakula ndani, anaona tu aibu kusema nenda angalau kwa wazazi kaombe unga kidogo tumekwama... anaona bora akwambie kua "fanya maarifa"..... Kawaida ya mwanamke ambae ni mwerevu (walau that is what I think) ni kutambua kua sio kila siku mume wake ataweza provide - na kwamba hata kama anaweza inaweza tokea in rare cases akakwama. Daima kulinda heshima ndani ya ndoa yenu inatakiwa kua na akili ya ziada mkichwa na maarifa pia....

Hivo basi daima hata kama woote wanafanya kazi na woote wana provide, ni lazima aweke akiba pembeni popote pale ndani ya nyumba ambayo inakua ni kinga ya kutatua tatizo pale ambapo litajitokeza na woote wasiwe na pesa (yaani mume na yeye mwenyewe mke); Hio akiba sio wanaume woote hujua kua inakuwepo.... Inapotokea kua kuna siku mlikwama kabisa mara nyingi akina mama huchukua hio akiba kuokoa jahazi kwa kumshirikisha mumeo na kumwambia "mume wangu nimeazima kwenye kikundi chetu kile cha upaku" sababu ya kusema hivi sio kwamba humuamini mumeo.... No! Ila tu ni ile haitakiwi hajenge kichwani mwake kuna akiba ndani for next time akikwama he wont try harder..... Hivo baas mara nyingi wanaume husema hivo sababu wanakua weshawahi pita in jams na mke aliokoa jahazi.... Siamini kua hua wanasema hivo kwa maana kwamba nenda kwa mpango wa kando ukatafute pesa.


Boss it has been Long.... Usiku mwema.

Da Asha hujambo?... umeongea vyema!!
 
Wanawake weengi tumekua jeuri... na tumesahau kua uthamani wetu kama wanawake huja pale ambapo wajistahi wewe mwenyewe... Mumeo na ndoa yenu. Wengi saana tunadhani kua tunapotongozwa huko nje hali tuna waume baasi ni wazuri saana na kwamba waume wetu wana bahati they have us (tukisahau kabisa kua majority ya wanaume akilala na wewe hali una mume; hata siku moja hatakuja kuheshimu, labda ni exceptional situations); Hivo inapotokea mwanaume anamuambia mkewe mwenye low morals fanya maarifa (na alipania kutoka nje) - yaweza mpa sababu na akawa careless kabisa in the pretense kua karuhusiwa. Lakini kwa mwanamke mwerevu atajua kua mume wake kakwama na kwamba kamthamini kiasi cha kua wazi na kuweka hilo tatizo katika mikono yake (kua Him as a Husband anamuamini na kumheshimu mkewe kua with her intellegence aweza tatua tatizo hilo kwa kutumia maarifa ambayo haijumuishi kwenda kulalwa na mwanume mwingine).



I am old fashioned... Hivo naweza jibu kua logically No! haitakiwi aseme kua "fanya maarifa" labda mimi as a wife nikiona mambo yamekwama kabisa na yaenda mrama ndio nimwambie kua wacha nifanye maarifa mume wangu. Realistically Yes! Maisha yamechange saana, ni gharama na it is taking toil katika families mbali mbali wake kwa waume... Ndoa saizi for it to suceed inatakiw muishi kama partner... na a partner is free to tell a fellow partner afanye maarifa. Hivo hapo kwa upande wangu ni sahihi kabisa. Ila hata hivo huyo mume awe anamfahamu vema mke wake her stamina/Intelligence na creativity katika kusolve matatizo.... Ni vigumu saana wewe mkeo sio mchakalikaji, ni dependent (alafu hajahaliwa akili ya akiba - kama vile utunzaji; waweza msoma thru the way a handle chakula, nguo, vifaa vya nyumba, makazi) kumwambia fanya maarifa... Kwa kweli inatakiwa umakini saana kuweza toa kauli kama hizo kwa mkeo....

Boss narudia Good nite.... Naomba usiniulize tena swali...lol

thanx
go have rest now.....
 
wamama wa kiafrica katika kuraise family wapo juu sana ushangai wazee wanalea wajukuu hata kumi vijijini
 
Inategemea kua hio shida ni of what nature.... Kuna ile kama inahusiana na chakula ndani, anaona tu aibu kusema nenda angalau kwa wazazi kaombe unga kidogo tumekwama... anaona bora akwambie kua "fanya maarifa"..... Kawaida ya mwanamke ambae ni mwerevu (walau that is what I think) ni kutambua kua sio kila siku mume wake ataweza provide - na kwamba hata kama anaweza inaweza tokea in rare cases akakwama. Daima kulinda heshima ndani ya ndoa yenu inatakiwa kua na akili ya ziada mkichwa na maarifa pia....

Hivo basi daima hata kama woote wanafanya kazi na woote wana provide, ni lazima aweke akiba pembeni popote pale ndani ya nyumba ambayo inakua ni kinga ya kutatua tatizo pale ambapo litajitokeza na woote wasiwe na pesa (yaani mume na yeye mwenyewe mke); Hio akiba sio wanaume woote hujua kua inakuwepo.... Inapotokea kua kuna siku mlikwama kabisa mara nyingi akina mama huchukua hio akiba kuokoa jahazi kwa kumshirikisha mumeo na kumwambia "mume wangu nimeazima kwenye kikundi chetu kile cha upaku" sababu ya kusema hivi sio kwamba humuamini mumeo.... No! Ila tu ni ile haitakiwi hajenge kichwani mwake kuna akiba ndani for next time akikwama he wont try harder..... Hivo baas mara nyingi wanaume husema hivo sababu wanakua weshawahi pita in jams na mke aliokoa jahazi.... Siamini kua hua wanasema hivo kwa maana kwamba nenda kwa mpango wa kando ukatafute pesa.


Boss it has been Long.... Usiku mwema.

mpendwa AD, natumaini hujambo.

hayo "maarifa" yako nimeyapenda sana.

ubarikiwe sana mpendwa

Glory to God!
 
maarifa ni mengi kwa mwanamke
hasa village girls
utaomba unga kwa jirani
utakuwa na bustani ya viazi
utakuwa na bustani ya mboga mboga
utakusanya kuni uuze

so many

ni kweli kabisa mpendwa

kwa mjini
unaweza enda kopa kwa mangi
mme akipata pesa unaenda lipa
au unakopa kwa mama jirani

mpendwa,

maarifa mazuri hayo ila yapasa kuwa mwangalifu ili usilimbikize madeni hadi mkatamani kuhama hapo mtaani mnapoishi, si unajua lakini akina mangi wanavyodai pesa zao?

umeongea vizuri..
na nina uhakika hakuna mwanaume anaetegemea mkewe
aende nje kwa 'kufanya maarifa'
ishu hapa ni je hii haiwezi kuwa kisingizio kwa baadhi ya wanawake...????
na je ni sahihi kwa mwanaume kumwambia mkewe 'fanya maarifa'??

mpendwa,

kama mwanamke atachukulia hiyo kauli yako kama kibali cha kulala nje ya ndoa yake, basi jua kuwa huyo anayo hiyo tabia siku zote na ataendelea nayo hata siku ukijitosheleza kwa kila kitu na kufanya maarifa yote mwenyewe! hiyo ni tabia mpendwa, dhiki ya siku moja haiwezi kufikia hatua hiyo ya kutoka nje ya ndoa!

hapo kwenye nyekundu, mi nasema ni sahihi na halali kabisa kama culture yao hapo nyumbani inaruhusu! kila wanandoa wana ka-utamaduni kao ndani ya nyumba yao. maneno hayo yanatamkwa kila siku ndani ya nyumba zenye vipato vidogo japo kwa maneno tofauti na hayo.

mfano utasikia, mwanaume akisema "leo nimekwama kabisa, siwezi kupata nauli hapo kwenye hii elfu moja na wewe ukapata japo fungu moja la tembele?" na mama utasikia akisema, "sasa hiyo itatosha nini? we tumia tu kama nauli mi nitaangalia cha kufanya hapa" mume akirudi anakuta kuna ubwabwa na maharage ambayo huenda vimepatikana kutokana na "maarifa" aliyofafanua AD hapo juu.

ila kama si utamaduni wenu kusema hivyo, unaweza kudaiwa talaka siku hiyo!! kwa hiyo wanandoa wawe makini hapo

mbarikiwe sana wapendwa,

Glory to God!
 
ni kweli kabisa mpendwa



mpendwa,

maarifa mazuri hayo ila yapasa kuwa mwangalifu ili usilimbikize madeni hadi mkatamani kuhama hapo mtaani mnapoishi, si unajua lakini akina mangi wanavyodai pesa zao?



mpendwa,

kama mwanamke atachukulia hiyo kauli yako kama kibali cha kulala nje ya ndoa yake, basi jua kuwa huyo anayo hiyo tabia siku zote na ataendelea nayo hata siku ukijitosheleza kwa kila kitu na kufanya maarifa yote mwenyewe! hiyo ni tabia mpendwa, dhiki ya siku moja haiwezi kufikia hatua hiyo ya kutoka nje ya ndoa!

hapo kwenye nyekundu, mi nasema ni sahihi na halali kabisa kama culture yao hapo nyumbani inaruhusu! kila wanandoa wana ka-utamaduni kao ndani ya nyumba yao. maneno hayo yanatamkwa kila siku ndani ya nyumba zenye vipato vidogo japo kwa maneno tofauti na hayo.

mfano utasikia, mwanaume akisema "leo nimekwama kabisa, siwezi kupata nauli hapo kwenye hii elfu moja na wewe ukapata japo fungu moja la tembele?" na mama utasikia akisema, "sasa hiyo itatosha nini? we tumia tu kama nauli mi nitaangalia cha kufanya hapa" mume akirudi anakuta kuna ubwabwa na maharage ambayo huenda vimepatikana kutokana na "maarifa" aliyofafanua AD hapo juu.

ila kama si utamaduni wenu kusema hivyo, unaweza kudaiwa talaka siku hiyo!! kwa hiyo wanandoa wawe makini hapo

mbarikiwe sana wapendwa,

Glory to God!

thanx Judy kwa mchango wako.....
 
ukianza fanya hivyo na kweli anafanya mikakati karibuni unapigwa buti ....loh!!!
 
Haya ndiyo maarifa ya mtazamo CHANYA.

hivi mkeo kukopa kwa mangi unaona ni maarifa chanya?
unawajua wapemba wewe?
uliza wanaoishi uswazi wakwambie wake za watu wanavyolambwa kwa kukopa kopa kwa wapemba....
 
Kuna baadhi ya familia ....mwanaume akishindwa baadhi ya majukumu
yake hasa ya kipato ni kawaida kusikia mume akimwambia mkewe
'fanya maarifa'
au ufanye maarifa basi'.......

hivi hili hasa linaamaanisha nini?


maarifa gani ambayo mwanaume akishindwa ,mwanamke ndo ataweza?????????

halafu unakuta mwanamke 'anafanya kweli maarifa' na maisha yanakwenda...

sasa 'haya maarifa' ya wanawake ni yapi????


Ina maanisha kuwa mwanamume ananajijuwa kuwa maarifa yake madogo kuliko ya mkewe. Sioni tabu kukubali ukweli!
 
For a change!! Ahsante nitonye.
Unajua, kiukweli kabisa mie naamini behind a successful man there is a woman. Mke akikususa akakushiti ujifanyie kila utakalo, wafwaaa!
Sio siri wanaume tunawadharau wanawake ila katika kufanya maarifa nawapa big up sana maana anaweza akafanya maarifa mpaka ukashangaa mwanaume mimacho inakutoka udhani kagawa nje kumbe hapana
 
For a change!! Ahsante nitonye.
Unajua, kiukweli kabisa mie naamini behind a successful man there is a woman. Mke akikususa akakushiti ujifanyie kila utakalo, wafwaaa!

wewe i will never tell u ...'fanya maarifa'.....lol
 
Kuna baadhi ya familia ....mwanaume akishindwa baadhi ya majukumu
yake hasa ya kipato ni kawaida kusikia mume akimwambia mkewe
'fanya maarifa' au ufanye maarifa basi'....... hivi hili hasa linaamaanisha nini?maarifa gani ambayo mwanaume akishindwa ,mwanamke ndo ataweza?????????halafu unakuta mwanamke 'anafanya kweli maarifa' na maisha yanakwenda...sasa 'haya maarifa' ya wanawake ni yapi????
The Boss nimecheka sana, unajua ni kauli ya kawaida tunayoisikia kila siku. Niliposoma hoja yako niakajikuta nipo njia panda kuhusu tafsiri halisi. Thanks

Hii kauli watu wa mjini wameichukua kutoka vijijini. Kule kijijini mzee akirudi bila ndezi au kasungura basi humwambia mamaa fanya maarifa akimaanisha ahangaike kwa namna yake watoto walambe mikono ima kwa kuchuma mgagani au kisamvu.

Maana ya pili ndiyo kama aliyosema mwenzangu kuwa akina mama huwa na mawasiliano mazuri, anaweza kwenda kwa jirani na kuomba kibaba cha unga shoga yake.

Kwa sisi waafrika ile ' malelism' inatukwaza kwenda kumwambia mshikaji unga au kitoweo kimegomba.
Kama ni pesa inawezekana lakini kumbuka hapo ni saa 1 usiku hata kama mshikaji atakupa pesa, watoto watalamba nini kabla hawajavamia jamvi? Hapo ni lazima 'mama afanye maarifa'.

Naogopa mjini maana fanya maarifa inaweza kuwa si ile ya kijijini! ha ha ha ha
 
The Boss nimecheka sana, unajua ni kauli ya kawaida tunayoisikia kila siku. Niliposoma hoja yako niakajikuta nipo njia panda kuhusu tafsiri halisi. Thanks

Hii kauli watu wa mjini wameichukua kutoka vijijini. Kule kijijini mzee akirudi bila ndezi au kasungura basi humwambia mamaa fanya maarifa akimaanisha ahangaike kwa namna yake watoto walambe mikono ima kwa kuchuma mgagani au kisamvu.

Maana ya pili ndiyo kama aliyosema mwenzangu kuwa akina mama huwa na mawasiliano mazuri, anaweza kwenda kwa jirani na kuomba kibaba cha unga shoga yake.

Kwa sisi waafrika ile ' malelism' inatukwaza kwenda kumwambia mshikaji unga au kitoweo kimegomba.
Kama ni pesa inawezekana lakini kumbuka hapo ni saa 1 usiku hata kama mshikaji atakupa pesa, watoto watalamba nini kabla hawajavamia jamvi? Hapo ni lazima 'mama afanye maarifa'.

Naogopa mjini maana fanya maarifa inaweza kuwa si ile ya kijijini! ha ha ha ha

asante aisee
hii kauli ni way too common kwenye jamii yetu....
sasa ukikuta 'hayo maarifa uswahilini' unabaki mdomo waazi...
baba anatoka asubuhi haachi kitu anasema tu 'fanya maarifa'
jioni watoto wanakula tu vizuuri...na sometimes inakuwa sio siku moja wala mbili
ni kama kawaida kwa baadhi ya familia....ajabu saana...
 
Uzuri wangu mie nna kiherehere, sisubiri kuambiwa nifanye maarifa. Nasoma alama za nyakati tu na kuiwahi kuulinda mtima wa mwenzi wanga. Tena kwa kujikausha kabisa 'Baba, unadhani mie napenda nyama siku hizi. Wewe nenda, Mungu hatotuacha!'.
Asili ya mwanamke ni kuwa na akiba. Haiwezekani akakaa hata sh 100 hana, ikitokea emergency ya mafuta ya taa ashindwe hadi muzeiya arudi. Hakuna raha ya mapenzi kama kuwa na uhitaji, basi tu dunia imechafuka!
wewe i will never tell u ...'fanya maarifa'.....lol
 
Ila tukubaliane, huo wasiwasi wa TB kuhusu ku-take advantage hautakosekana kama mwanaume atahitaji kila mara mkewe 'afanye maarifa'. Ndo wakina marioo hao, yeye anauza sura kila siku hoping mkewe atamuweka mjini kwa maarifa. Ikila kwake usishangae, manake ile sense ya masculinity inapotea machoni kwa mkewe. Na mke anaanza kuona wale wawezeshaji ndo wako masculine (mangi included)
 
Ila tukubaliane, huo wasiwasi wa TB kuhusu ku-take advantage hautakosekana kama mwanaume atahitaji kila mara mkewe 'afanye maarifa'. Ndo wakina marioo hao, yeye anauza sura kila siku hoping mkewe atamuweka mjini kwa maarifa. Ikila kwake usishangae, manake ile sense ya masculinity inapotea machoni kwa mkewe. Na mke anaanza kuona wale wawezeshaji ndo wako masculine (mangi included)

uswahilini 'fanya maarifa' sio ya siku moja..
zipo familia mama anadaiwa weeee mpaka anakubali yaishe
sababu ya hii 'fanya maarifa'
ndo maana nauliza ni sahihi kwa mwanaume kumwambia mkewe 'fanya maarifa'???
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom