Kumvumilia mwanaume bahili ni kipaji

Kumvumilia mwanaume bahili ni kipaji

Sasa na wewe mbona bahili...ulishawahi kumpa mwanaume wako pesa..au yeye hana shida ya pesa???
Kwa mfano kama mimi, mwanaume wangu namkopesha sio kumpa bure ila yeye lazima anipe
 
Wapo humu wengi tu wapenda kitonga, ila wanavyopenda papuchi sasa.

Raha ya kuwa na mwanaume akutunze hata akikuletea chupi ya buku roho inatulia.
Kumbe unataka akupe ili umpe papuchi..na je yeye akitaka umpe pesa akupe dushe??
 
Kuna wanawake dizaini flani hivi ni kero...yani always anawaza namna gani atapata mahitaji yake from men, badala ya kuwaza namna gani mtapanga malengo ya maendeleo....na namna utakayo changia katika hayo maendeleo.... We unawaza takataka Mara pafyumu.......

Kua makini utakuwa unaachwa deile....
Bila izo perfume mkuu si ntanuka kikwapa utaanza kubwabwaja uku jf mara ooh manzi wangu mchafu mara ananuka kikwapa...akuu shurti nkuvutie
 
Ni kipaji maalumu, mwanaume bahili hana tofauti na tetemeko

Haahahahaahaaa🙂 Mkuu asante sana kwa kuifanya Jpili yangu iwe ya furaha maana hadi muda huu nacheka 🙂
 
Haahahahaahaaa🙂 Mkuu asante sana kwa kuifanya Jpili yangu iwe ya furaha maana hadi muda huu nacheka 🙂
We endelea kucheka tu mkuu, maana ukikumbwa na tetemeko mtu ni changamoto
 
Kwa hiyo matetemeko Tz ni mengi sana na misaada inahitajika sana..ha ha
 
Labda nikuulize swali mleta mada, ukitimiziwa yote mayo uliyoyataja, halafu mwanaume kitandani hawezi kukukojolesha, utamvumilia nila kuruka fensi? Tujifunze kuishi na mapungufu ya wenza wetu!
 
Hivi inapata gelofrend au mke anakujali kwa haja zako ndogo ndogo kwa kujituma kwa hali ya juu. Sasa kweli unashindwa kumtimizia mahitaji yake basi hata yale madogodogo kama kumnunulia pads, perfume, hujui anakula nini, analala wapi/ analalaje (sio lazima ulipe kodi) kama ana kagari mjazie hata mafuta n.k

Basi wapenda miteremko na wasiopenda majukumu watamind......wala sijali ila UKITAKA NG'OMBE WAKO ATOE MAZIWA MAZURI MTUNZE
Kazi sana kumvumilia mwanamke mwenye pasi, lazima utamsaliti tuu
 
halafu unakuta dem anakaa Tu kitandani km tumbili ww ndo ushuhulike, zawad zake averagely cheap Tu halafu anataka ajaziwe mafuta
 
Pole sana... unachopenda kufanyiwa anza kumfanyia mwenzako kwanza...
 
Wanaume wa sikuhizi wanapenda mteremko sana aisee ndo mana wako radhi mdada awe na wakumtunza yeye amtumie tu
 
Kuhudumiwa ni kawaida sana na mwanaume kumhudumia mwanamke anaempenda ni jambo LA kawaida ila mwanamke kubweteka kupita kiasi na kuwa tegemezi kama mtoto ni mwanzo Wa kuchokwa.
 
Back
Top Bottom