King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,984
Wewe mwenyewe unapenda mteremko, halafu unawasema wanaume wanajipenda mteremko.
Tafuta financial freedom. Unafurahia maisha kwa raha zako. Ukiwa girlfriend Mie sioni sababu ya kulipisha Mtu bills zako. Ukiwa mke kuna basics ambazo mume atalipia kama nyumba (ili apaite kwake) Na bills zake. Akikuspoil Mara moja moja Na zawadi Na nguo inatosha. Halafu usisahau Na yeye kumspoil pia, love is about give and take
Tafuta financial freedom. Unafurahia maisha kwa raha zako. Ukiwa girlfriend Mie sioni sababu ya kulipisha Mtu bills zako. Ukiwa mke kuna basics ambazo mume atalipia kama nyumba (ili apaite kwake) Na bills zake. Akikuspoil Mara moja moja Na zawadi Na nguo inatosha. Halafu usisahau Na yeye kumspoil pia, love is about give and take
Hivi inapata gelofrend au mke anakujali kwa haja zako ndogo ndogo kwa kujituma kwa hali ya juu. Sasa kweli unashindwa kumtimizia mahitaji yake basi hata yale madogodogo kama kumnunulia pads, perfume, hujui anakula nini, analala wapi/ analalaje (sio lazima ulipe kodi) kama ana kagari mjazie hata mafuta n.k
Basi wapenda miteremko na wasiopenda majukumu watamind......wala sijali ila UKITAKA NG'OMBE WAKO ATOE MAZIWA MAZURI MTUNZE