marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
Kuwajali sio lazima kuhonga ...Nimegundua mnaotokwa na povu ndio wahongaji wakubwa. Tena wanawajali wake zao 100%
Kuwajali sio lazima kuhonga ...Nimegundua mnaotokwa na povu ndio wahongaji wakubwa. Tena wanawajali wake zao 100%
Kuna wengine sasa hawataki kujishughulisha kwa vile tu anajua mwanaume unacho cha kumpatia na hata ukimkalisha ukamwelesha,Baby hali inabana,hebu chukua huu mtaji uuzungushe tuongeze kipato,aidha atakwambia hawezi au ataichukua na kuipiga kiberiti yote na kurudi kuomba tena kwako.Sasa hapo kweli kuna faida ipi ya kuwa katika uhusiano na mtu wa aina hiyo? Sihitaji pesa ya mwanamke lakini basi walau mambo mengine aweze kujisimamia mwenyewe sio kunitolea macho tu mimi,watoto wangu wafanye nini?Sasa tunahudumiana kama wote tunapiga kazi..
Wewe kazi unayofanya..pesa unapeleka wapi??Anikopeshe vipi na akati ye mahitaji yooote anatimiza ndani mi nakopa pesa kwake nipeleke wapi
Yaani hata kuku wa kike amewazidi akili..anatafuta chakula mwenyewe..hamtegemei jogoo.nadhan hii ni staili nyingine ya kujiuza wanawake wamebuni. mtu anasingizia eti kwa kua tu ni mpenzi anampangia na majukumu ya kumpa.
hivi kwa mfano huyo mpenzi anaekupa pesa kesho akafulia na hawezi kukupa tena wt next?!! na kwa mfano akikuacha nani anakupa tena huduma?!! acheni kuyatumia mapenzi vibaya.
Kwa mfano bht mbaya,umetoka duniani..atalea vp watoto kwa akili hizo.Kuna wengine sasa hawataki kujishughulisha kwa vile tu anajua mwanaume unacho cha kumpatia na hata ukimkalisha ukamwelesha,Baby hali inabana,hebu chukua huu mtaji uuzungushe tuongeze kipato,aidha atakwambia hawezi au ataichukua na kuipiga kiberiti yote na kurudi kuomba tena kwako.Sasa hapo kweli kuna faida ipi ya kuwa katika uhusiano na mtu wa aina hiyo? Sihitaji pesa ya mwanamke lakini basi walau mambo mengine aweze kujisimamia mwenyewe sio kunitolea macho tu mimi,watoto wangu wafanye nini?
Hata ukisafiri tu kwenda mbali ukawa haupatikani hewani Kwa muda Fulani,utakuta keshaolewa tena au ana mabwana mtaa mzima maana kwake yeye,mwanaume ndie chanzo cha mapato pekee kinachoaminika. Ni kazi sana kuishi na mwanamke mwenye mentality ya utegemezi.Kwa mfano bht mbaya,umetoka duniani..atalea vp watoto kwa akili hizo.
Au umeenda jela hata kwa kesi ya kusingiziwa..ukitoka ujue huna chako..wajinga sana hawa...mm nazidi kusisitiza..kuku wa kike mwenyewe kawazidi akili..anajituma kutafuta chakula,anawalisha watoto wake..tena hamsubili jogoo.Hata ukisafiri tu kwenda mbali ukawa haupatikani hewani Kwa muda Fulani,utakuta keshaolewa tena au ana mabwana mtaa mzima maana kwake yeye,mwanaume ndie chanzo cha mapato pekee kinachoaminika. Ni kazi sana kuishi na mwanamke mwenye mentality ya utegemezi.
Nami nimefurahi kwa kuwa umeongezamo siku kumi za kuishidaaa nimecheka sana,
Not all wajinga chagua tyoe ya wanawake unaodate nao.... Wengine wanasaidiana equally na wanawake wengine wana hudumia vizur tuu...Au umeenda jela hata kwa kesi ya kusingiziwa..ukitoka ujue huna chako..wajinga sana hawa...mm nazidi kusisitiza..kuku wa kike mwenyewe kawazidi akili..anajituma kutafuta chakula,anawalisha watoto wake..tena hamsubili jogoo.