Kumvumilia mwanaume bahili ni kipaji

Kumvumilia mwanaume bahili ni kipaji

Very poor mentality. Huna wazazi? Au wewe yatima?

Hili swala la pesa naona linaanza kuchuja sasa, work hard young lady. Maisha ya "kukaa barazani" karne hii ni kuutafuta umasikini tu. Saidiana na mwenzako kutafuta maisha, ukitegemea akupe hadi sanitary pads utaishia umasikini tu.
 
Wanawake kama nyie mpaka 2020 kipindi hiki cha Mzee JPM mtahangaika saaaaaaaana... Mlizoea kuhongwa kama vikapu vya sadaka Leo mabwana zenu wamebanwa mnalialia... Komaa Dada fungua hata genge uuze machungwa muda Wa kutumia papuchi kama kitega uchumi umeshapita otherwise ujiunge rasmi na wenzako ambaince.....
 
hivi hao jamaa hawapendi kabsa girl wao wapendeze maana mile nikiwa njiani nikionaga kiatu au nguo mzur nanunua nampelekea had I raha akipendeza
ngoja siku uone hizo nguo unazomnunulia anavaa anavyoenda kwa jamaa mwingine anayemkubali wanawake wanaopenda wamebaki vijijini ila ni vizur kumpa ela anunue mwenyew kuliko hivy unavyofanya
 
HIVI KWANINI WADADA WENGI WANAPENDA SANA MAMBO YA KUHUDUMIWA NA WANAUME ZAIDI KULIKO MAPENZI YA KWELI, ? HII INANIPA MAJIBU NDIO MAANA MAKAPUKU WANABAKI ALONI,

ALAFU BILA HATA KUJITAMBUA KWAMBA WANAJIUZA KWA HAO WENYE PESA, NA WANAKOSA MAPENZI YA KWELI BALI WANAONGOZWA NA PESA TU
 
Wapo humu wengi tu wapenda kitonga, ila wanavyopenda papuchi sasa.

Raha ya kuwa na mwanaume akutunze hata akikuletea chupi ya buku roho inatulia.
 
Kuna siku nilikuwa katika matembezi, nikapita mahala nikakuta madada wamekaa kibarazanj wanapiga soga. Wakati napita eneo hilo, phrase niliyoikuta ni kwamba siku hizi wanaume wamekuwa wagumu kweli kutoa hela. Wenzake wakawa wanamsupport na kutoa shuhuda zao toka kwa mabwana zao.

Kimoyomoyo nikajisemea hakika na namba inasomeka kisawasawa hivi sasa. Nikapita na kuendelea zangu na safari.
 
Tena kipaji kilichochangiwa na ujinga kabisa
 
Back
Top Bottom