Kumvumilia mwanaume bahili ni kipaji

Kumvumilia mwanaume bahili ni kipaji

Neno Haki sawa mnataka liwe na maeneo maalum tu? Pia kumvumilia mwanamke tegemezi ni kipaji pia
 
Wewe mwenyewe unapenda mteremko, halafu unawasema wanaume wanajipenda mteremko.

Tafuta financial freedom. Unafurahia maisha kwa raha zako. Ukiwa girlfriend Mie sioni sababu ya kulipisha Mtu bills zako. Ukiwa mke kuna basics ambazo mume atalipia kama nyumba (ili apaite kwake) Na bills zake. Akikuspoil Mara moja moja Na zawadi Na nguo inatosha. Halafu usisahau Na yeye kumspoil pia, love is about give and take
pata likes billion 1000 King'asti
 
[QUOTapensho star, post: 17882000, member: 373219"]ngoja siku uone hizo nguo unazomnunulia anavaa anavyoenda kwa jamaa mwingine anayemkubali wanawake wanaopenda wamebaki vijijini ila ni vizur kumpa ela anunue mwenyew kuliko hivy unavyofanya[/QUOTE]
Mkuu hela anapewa BT nami pia nanunua nguo kwa upenzi wangu kwamba akivaa inampendeza alafu suala la kwenda kwa mtu mwingine siwazagi ata akienda sio tatizo
 
Tatizo wanawake mnataka mumkwangue mtu abaki mweupe kabisa, alafu mnapenda mpate kila siku mpewe pesa tu wakati papuchi hamtoi kila siku,

Hivi nauliza hii issue ya mwanamke kupewa pesa imeanzaje , maana wao ndio wanataka wapewe pesa tu , how come bwana
 
Hawa wakina HAWA hawajawahi eleweka wanataka nini.ukiwatimizia hili watataka lile ukiwapa lile watadai anakibamia,ukilamba vumbi la mkongo bado wataanza kuja kulia lia.kila mwanaume ampeleke mtu wake mwendo anaojua yeye.akipiga kelele we ndo pa kuongeza mwendo, ataruka tu
Hakuna namna
 
Hivi inapata gelofrend au mke anakujali kwa haja zako ndogo ndogo kwa kujituma kwa hali ya juu. Sasa kweli unashindwa kumtimizia mahitaji yake basi hata yale madogodogo kama kumnunulia pads, perfume, hujui anakula nini, analala wapi/ analalaje (sio lazima ulipe kodi) kama ana kagari mjazie hata mafuta n.k

Basi wapenda miteremko na wasiopenda majukumu watamind......wala sijali ila UKITAKA NG'OMBE WAKO ATOE MAZIWA MAZURI MTUNZE
Had pichu, cndria, tight blauz gaun sket anunue me ksa papuch ? Kwan ke ni mfugo had asubr me aletee yeye @ kitu ? Inabd ke naye ashughulike achen izooo ! Lol mm cwez hudu100 Ke @ kit, km hawez kujhudu100 japo kdog mkono wangu utaendelea kuwa msaada ajab [emoji58] [emoji58] oouuuhh shittttt
 
Back
Top Bottom