rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,165
- 43,854
Ukiona mbwa mwitu anamtetea kondoo tunasema ni mbinu yake kwenye kutafuta chakula. But ukiona kondoo anatetea mbwa mwitu aliyejivika ngozi ya kondoo kuna mawili huyu kondoo hajajua kuwa anatetea kiumbe anaemdhuru sababu kajificha kwenye ngozi au ni basi kaamua kukubali kuliwa so anatetea upumbavu wake.Nina karibia kuoa mwanamke msomi kabisa muda si mwingi vijana msiogope kuo a mwanamke aliekuzid kidogo kielemu ila tafuta Alie na hofu na Mungu kwanza
Its a cocktail of the two actually.Lakini madada zetu hawa wenye elimu zao ukiwatongoza wana jishembendua sana tatizo huwa ni inferiority complex au kujiona
Mawazo yako uko free kuandika upendachoUkiona mbwa mwitu anamtetea kondoo tunasema ni mbinu yake kwenye kutafuta chakula. But ukiona kondoo anatetea mbwa mwitu aliyejivika ngozi ya kondoo kuna mawili huyu kondoo hajajua kuwa anatetea kiumbe anaemdhuru sababu kajificha kwenye ngozi au ni basi kaamua kukubali kuliwa so anatetea upumbavu wake.
Jitafakari.







Najua umeelewa............Mawazo yako uko free kuandika upendacho![]()
Ahsante na Mimi pia kama weweHii thread imeniongezea points kadhaa kichwani mwangu.
Asante mtoa mada.
Yeah bado nina 19 yrs agesawa ila mleta mada ni mvulana

sawa dogo ila tafuta pesa kwanzaYeah bado nina 19 yrs age
And I'm not in a relationship![]()
Jitahidi umzidi akili na fedha. Ukishindwa haya utalala na viatu.Nina karibia kuoa mwanamke msomi kabisa muda si mwingi vijana msiogope kuo a mwanamke aliekuzid kidogo kielemu ila tafuta Alie na hofu na Mungu kwanza
sawa dogo ila tafuta pesa kwanza
usijali tomorrow might never be bana Kazi kazi 
Mahusiano ni zaid ya k mkuu,kuwa na chemistry nzuri kuna feeling moja amazing sanaKwani aliyesoma 'k' yake inakuwa tamu kuliko ya yule ambaye hajasoma?
Kama 'k' zao wote utamu ni sawa nitaoa ambaye elimu yake ni ya kiwango cha chini
Mwanaume kamil huwa haogopiJitahidi umzidi akili na fedha. Ukishindwa haya utalala na viatu.
Sijui Kama umenielewa
Sent from my G8 using JamiiForums mobile app
Mmh kumbe wasichana wanapenda waolewe na watu walioendelea kimaisha tayari hawapendi kuoelewa na wale ambao watapata shida na kutafuta pesa pamojaJitahidi umzidi akili na fedha. Ukishindwa haya utalala na viatu.
Sijui Kama umenielewa
Sent from my G8 using JamiiForums mobile app



Kweli, ataanza kuwa na inferiority na kuona anadharauliwa.Yeah naelewa lakini dada hawa wasomi hupenda wavulana wasomi pia....ni ngumu kupata msichana aliye na elimu yake kaolewa na jamaa wa maskani asiye na elimu