zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,838
Mara nyingi katika masuala yanayowapa wakati mgumu vijana katika kuchagua wenza wao. Ni pamoja na suala la kiwango cha elimu walichonayo.
Wasichana wengine huwakataa wavulana kwa kigezo cha elimu waliyonayo? Je mnahisi elimu inaweza kuwa kikwazo cha mahusiano baina ya watu wawili lakini kabla lazima tutambue akili siyo elimu na elimu siyo akili
Mleta mada ni mvulana
Wasichana wengine huwakataa wavulana kwa kigezo cha elimu waliyonayo? Je mnahisi elimu inaweza kuwa kikwazo cha mahusiano baina ya watu wawili lakini kabla lazima tutambue akili siyo elimu na elimu siyo akili
Mleta mada ni mvulana