Mwanamke akikuzidia idara yoyote ile huwa anatumia kama Kigezo kukudharau sijui wameumbwajeee hawa Viumbe. Unaweza kuta kadada kanatumia Iphone ya kuhongwa yani wewe unaetumia tekno hata kama hakajui maisha yako ni first day anakuona lazima atakudharau...!!
Mwanamke kama umemuoa na amekuzidi elimu lakini umemzidi kipato omba Mungu siku usikwame aisee mbona utajua hujuii


Mwanamke akikuwezesha kwenye jambo flani kamwe haesabu kama mlikuwa mnasaidiana hata kama ni wanandoa huwa anahesabu kama Umeshindwa na bila yeye usingeweza fanya ndo maaan siku hizi ni Ngumu kukuta mwanaume anamshirikisha mwanamke kila Jambo na ubaya huwaga wanaona Wao wataishi zaidi kuliko wanaume.
Mambo ambayo hutakiwi kufanya na mwanamke maana lazima Mtagombana.
1. Usikubali mwanamke akupe Mtaji wa biashara kama una rohoo ndogo nasema dharau zake unaweza UA
2. Usikubali kuisho kwenye nyumba aliyojenga mwanamke my friend bora mpange nyumba muishi humo
3.Usikubali Kujenga kwenye kiwanja cha Mwanamke u will die


4.Usikubali mwanamke afanye majukumu yako nyumbani kama kulipa Ada bora hata anunue mahitaji ya nyumbani kidogo hapo pia Atakudharau.
5.USIOE MWANAMKE ALIEKUZIDI KIPATO HATA KAMA UMEMZIDI ELIMU USIJARIBU.
6.USIOE MWANAMKE ALIEKUZIDI ELIMU LABDA KAMA UMEMZIDI PESA MBALI SANAAA.