Kumuoa binti msomi

Kumuoa binti msomi

Kama hujasoma tafuta ambaye hasoma au ana shule kidogo and vice versa,kusema ukweli mapenzi yananoga mkiwa na ile kuongea lugha moja sasa standard 7 na angalau diploma story zinaboa in a long run,hata mkifanya argument kuna mmoja atahiji anadharauliwa
Sema wanaume ambao hawajasoma tatizo lao liko hapo.
Hata arguments zao zinakuwaga za hovyo Sana halafu Mara nyingi wanashikilia Hilo la kutokusoma,mkikorofishana tu kidogo anachukulia kutokusoma kwake kama silaha yaani hata Kama mambo hayana uhusiano kabisa na shule yeye anaingiza St 7 Yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema wanaume ambao hawajasoma tatizo lao liko hapo.
Hata arguments zao zinakuwaga za hovyo Sana halafu Mara nyingi wanashikilia Hilo la kutokusoma,mkikorofishana tu kidogo anachukulia kutokusoma kwake kama silaha yaani hata Kama mambo hayana uhusiano kabisa na shule yeye anaingiza St 7 Yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wanaooa wanawake waliowazidi elimu ni wajinga
Mwanamke kazidiwa elimu na mumewe anamdharau sembuse yeye ndio amzidi mumewe
 
99% of all marriages are dependent on the man's income. No income, no marriage. That is the sad reality. Na sio elimu.

Kwa mfano ukiwa na elimu ya uzamivu (Ph.D) na ukaoa mwanamke ambaye ana shahada moja ila anatengeneza pesa mara tatu yako atakudharau. Hii ni siri nakupa wanawake wengi karibu wote kitu pekee kitakacho kupa heshima mbele yake kwa muda mrefu zaidi ni kipato chako na sio elimu yako.

A study was conducted among the top earning women in Fortune 500 companies. Despite their big bucks, these women still wanted marriage partners who were more financially successful than them, even if they knew that the pool is extremely small. That tells you alot about women. Seeking a financially superior partner is their true nature, even when they are successful in their own right and have very few options to choose from. This partly explains why most financially successful women never get married.
 
Duuh! Well said
Unafikiri ni ndoa zipi hudumu
Za wanandoa wasomi ama zile za wanandoa wasio wasomi
Zote hudumu ila lazima mwanaume uwe na value added la sivyo ukubali mwanamke awe head of household hata kama unamzidi elimu na kipato. Mfano ni marehemu mkapa na Anna
 
Atakae kuoa wewe ana hasara sana.
Kama ni kuolewa niliolewa hujazaliwa na kama ni kuoa mke wangu kaishastaafu utumishi wa Umma. Dua lako limechelewa. Ukitaka mifano ya uzoefu wangu nakupa
 
Of course wanawake kabla hawajapigwa zile mimba za kijinga huwa wanakuwa wana mawazo ya ramli sana. Wakishapigwa mimba ndio akili zinaanza kuwa active..... Wanakuwa wanafikiria sawa.
Mwanamke kabla ya mimba huwa mwangalifu sana (risk manager) ila akiwa single mother obvious anakuwa risk taker. Hana choice anayekuja mbele yake, twende kazi
 
Wazee wa zamani walipendana kwa moyo mmoja na kutafuta pesa pamoja wakifurahia mapenzi Leo hii imekuwa tofauti bila pesa no long lasting relationship
Zamani wanawake waliamini kuwa K ni kwa ajili ya kuzaa na kumridhisha mume. Baada ya Beijing, wanawake wakaanza kuamini kuwa K ipo kwa ajili ya kuenjoy na ni kitegauchumi kizuri tu - si pesa tu, bali kupata kazi, kupata ubunge, kushinda mitihani, kumpa traffic etc
 
Kama ni kuolewa niliolewa hujazaliwa na kama ni kuoa mke wangu kaishastaafu utumishi wa Umma. Dua lako limechelewa. Ukitaka mifano ya uzoefu wangu nakupa
utanisamehe kama jinsia yako ni ya kiume maana niliona comment yako imekaa kike kike. Huna uzoefu wowote wa kunipa. Kuna mdau hapo juu amesema mwanaume akipata mke anae mzidi elimu anatakiwa ampate mwenye hofu ya mungu na huo, ndio ukweli wenyewe.
 
utanisamehe kama jinsia yako ni ya kiume maana niliona comment yako imekaa kike kike. Huna uzoefu wowote wa kunipa. Kuna mdau hapo juu amesema mwanaume akipata mke anae mzidi elimu anatakiwa ampate mwenye hofu ya mungu na huo, ndio ukweli wenyewe.
Ukiona mtu anamtanguliza mungu, jua thinking capacity yake imegota. Unadhani mwenye hofu ya mungu huwa hana ubinadamu ni malaika? Ndoa ngapi za walokole zipo chali? By the way sitafuti umaarufu hapa ila najieleza wala mimi siyo lecturer wako ati ukubaliane na niyasemayo ili nikitoa end of semester exam upate A. Ni majadiliano tu
 
Ukiona mtu anamtanguliza mungu, jua thinking capacity yake imegota. Unadhani mwenye hofu ya mungu huwa hana ubinadamu ni malaika? Ndoa ngapi za walokole zipo chali? By the way sitafuti umaarufu hapa ila najieleza wala mimi siyo lecturer wako ati ukubaliane na niyasemayo ili nikitoa end of semester exam upate A. Ni majadiliano tu
Eti mwenye hofu ya mungu thinking capacity yake imegota! Kama huna reference ya kitu no bora ukae kimya maana Unaweza jivua nguo hadharani. Reference yangu ni ya mwanamke ambae sasa anachukua doctorate na mshahara wake ni over 40M kwa mwezi na ana heshima kwa mwanaume amabe ana kadigri kamoja na mshahara wa 5M. Asikwambie kitu mwanaume inatakiwa uwe na msimamo na usibabaishwe na eeimu ama mshahara wa mke; huu ndio uanaume.
 
Nisamehewe bure
Chakorii nisamehe kwa ukurupukaji wangu
Usijali mwamba...hauko peke yako unaeniona mimi ni mwanaume jombaa...sijui ni jinsi mwandiko wangu unavyokaa sa ingine😅😅😅..wakati mwingine nafurahi kuona watu wakipata utata juu ya jinsia yangu😊😊safi sana🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🥂🥂🥂
 
Eti mwenye hofu ya mungu thinking capacity yake imegota! Kama huna reference ya kitu no bora ukae kimya maana Unaweza jivua nguo hadharani. Reference yangu ni ya mwanamke ambae sasa anachukua doctorate na mshahara wake ni over 40M kwa mwezi na ana heshima kwa mwanaume amabe ana kadigri kamoja na mshahara wa 5M. Asikwambie kitu mwanaume inatakiwa uwe na msimamo na usibabaishwe na eeimu ama mshahara wa mke; huu ndio uanaume.
Huwezi kuchora graph na points chini ya tatu maana ukiwa na mbili, waweza kudhani ni straight line wakati ni parabola. Unaanzisha ligi ambayo huwa siipendi! Hivi unadhani waweze kuitathimini ndoa kwa kuwaona mitaani wanandoa? Kuna uzi wa open kitchen unatembea ndilo jibu la swali lako
 
Huwezi kuchora graph na points chini ya tatu maana ukiwa na mbili, waweza kudhani ni straight line wakati ni parabola. Unaanzisha ligi ambayo huwa siipendi! Hivi unadhani waweze kuitathimini ndoa kwa kuwaona mitaani wanandoa? Kuna uzi wa open kitchen unatembea ndilo jibu la swali lako
Nani refer mwenyewe FYI
 
Sema wanaume ambao hawajasoma tatizo lao liko hapo.
Hata arguments zao zinakuwaga za hovyo Sana halafu Mara nyingi wanashikilia Hilo la kutokusoma,mkikorofishana tu kidogo anachukulia kutokusoma kwake kama silaha yaani hata Kama mambo hayana uhusiano kabisa na shule yeye anaingiza St 7 Yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli ndivyo tulivyo
 
Back
Top Bottom