KANYIMBI
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,187
- 4,425
Kama umemuonja kwa miaka mitatu. Huyo Binti yupo sahihi kudai Ndoa.
Kwa sheria za kimahakama, ukiishi nae binti kwa miaka miwili tayari anatambulika kuwa ni mke. Hivyo anastahiki kudai uthibitisho wa Ndoa.
Na sio lazima mfanye sherehe, mnaweza kuwa na mashahidi/ ndugu wachache tu na Ndoa ikafungwa bila mbwembwe.
Kwa sheria za kimahakama, ukiishi nae binti kwa miaka miwili tayari anatambulika kuwa ni mke. Hivyo anastahiki kudai uthibitisho wa Ndoa.
Na sio lazima mfanye sherehe, mnaweza kuwa na mashahidi/ ndugu wachache tu na Ndoa ikafungwa bila mbwembwe.