Mueleze kama atakubali ya watu wachache bila shereheSina hela za kufanya michakato sahihi kama maharii...hizo gharama za ndoa pia..!!
Kama hujajipanga hungekubali kupewa papuchi... 😂Mkuu sio kwamba sitaki hapana ila tatizo sijajipanga bado kwa hiyo michakato...
una umri gani rikiboy?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787] Mkuu kiufupi vimeumana...
Wewe ukiangalia akikupa muda, utamweka hadi lini?Afadhali wewe unaelewa nini Naongea yani mnagombana kila siku kwa vitu ambavyo unamuelewesha daily...
Wazazi wako au wake? 😂Aliwahi niambia ndoa ya kiserikali nilivyofikisha kwa wazazi sitaki kukumbuka yale majibu...
Muoe basi ka hutaki kusafisha mkunga! 🤣 🤣 🤣Mkuu sasa ntaishijee..??? Nyeto au..
Duh, afadhali utoroke basi, ati mtihani? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Mkuu ni mtihani[emoji3][emoji3]
Hmmmmm.28...
Toroka baba...😁😁😁Me wangu walikataa tu wakasema mna haraka ya kwenda wapi???? Wazazi wake ndo waliwakaa hatarii...
Naelewa mkuu me ndo maana napata ugumu nikisema tuachane alafu nianze kwingine upyaa ntakutana na vimeo bureeHmmmmm.
Riki boy maisha ya kukula kula hapa na pale sio fresh.
Find a girl, settle down.
The only sense in this adult life is a family to come home to no matter how difficult life gets.