Kumtongoza mwanamke asubuhi ni laana?

Kumtongoza mwanamke asubuhi ni laana?

Tunaandaa maandamano ya Amani tumechoka
Nitawasaidia kuandamana
1453119298122.jpg
 
Mi nishawahi tongoza asubuhi sio laana wala nini mana ilibidi nifanye hivyo sababu kuna dem chuo mi na mshikaji wangu tulitokea kumtamani Wote so tukasema ataemuwahi ndo wake bahati mbaya au nzuri asubuhi naenda class nakutana nae mlango wa class nikalianzisha Hapo Hapo ni raha Sana sababu hakuwa ametegemea ambush ile
 
Mkuu na Wale wanaowatafuna mahousegirl asubuhi baada ya mabosi kwenda kazini tunaita ile bahati ama nao ni mkosi
 
inategemea na ntu anayetongoza mwingine akikutongoza asubuhi uhahisi umepata balaa hadi job unaogopa utafukuzwa, mwingine anafanya day iwe smilingg[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji28]
 
Mi nishawahi tongoza asubuhi sio laana wala nini mana ilibidi nifanye hivyo sababu kuna dem chuo mi na mshikaji wangu tulitokea kumtamani Wote so tukasema ataemuwahi ndo wake bahati mbaya au nzuri asubuhi naenda class nakutana nae mlango wa class nikalianzisha Hapo Hapo ni raha Sana sababu hakuwa ametegemea ambush ile
Itakuwa na yeye alikuwa na mzuka na wewe.
 
inategemea na ntu anayetongoza mwingine akikutongoza asubuhi uhahisi umepata balaa hadi job unaogopa utafukuzwa, mwingine anafanya day iwe smilingg[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji28]
Mfano mzuri kwako, huwa unajisikiaje Mkuu kutongozwa asubuhi?
 
Hata mm nilikuwa nasikia hivo nyumban sasa cjui kama kweli
 
Mtongozo c ndio mwanzo wa mahusiano jamani! Na badae labda ndoa hadi familia.
Siku hizi watu hawatongozwi...sijui lakini,labda mie nipo dunia nyingine.. Ukinisimamisha ukaanza kunitupia verse sahau kunipata..
 
Siku hizi watu hawatongozwi...sijui lakini,labda mie nipo dunia nyingine.. Ukinisimamisha ukaanza kunitupia verse sahau kunipata..
Hahahaaa...... umeshafanya hivyo kwa wanaume wangapi?
 
Back
Top Bottom