pouwa mr za kwako?mambo miss
Hahahhaa nimeikumbuka ile Post yangu ya "kitongozeo changu" ngoja nikaitafutemi kweli unalaana kwa sababu asubuhi ni mda wa kazi .. mtongozo unatakiwa kuanzia saa nane mchana
ha hahaha haya kakitafuteHahahhaa nimeikumbuka ile Post yangu ya "kitongozeo changu" ngoja nikaitafute
PoleKauli ya kuhusisha kabila inanikera sana.
Am good...cjakusikia tenaaaa=
pouwa mr za kwako?
Nshakipata na nshakutagha hahaha haya kakitafute
Siku hizi watu hawatongozwi...sijui lakini,labda mie nipo dunia nyingine.. Ukinisimamisha ukaanza kunitupia verse sahau kunipata..
Hata kama ulilala nae ?Habari Wakuu!
Eti ni kweli mwanaume kumtongoza mwanamke au kutongozwa mida ya asubuhi ni laana?
Ni kweli kwenye kutongoza kuna time limit?
Wajuvi wa mambo hebu tusaidiane jamani.