miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
wapi ? we futa vigezo na mashartiHahahaahaaaaa........ miss chagga usinifanyie hivyo mwenzio.
wapi ? we futa vigezo na mashartiHahahaahaaaaa........ miss chagga usinifanyie hivyo mwenzio.
hizo hisia za kizamani, eti utapata laana...Wee mbishi, hata hujui maana ya laana. Tafuta kamusi Mkuu.
Mtongozo c ndio mwanzo wa mahusiano jamani! Na badae labda ndoa hadi familia.Mmh mtongozo uwe baraka tena haha..
mi naona mapenzi ni hisia za mtu, na hisia hazina muda wala sehemu maalum... Yaani uogope kusema kisa ni asubuhi upo kwenye daladala unaenda job... halafu baadae unaanza kujutaMkuu, kwahiyo hata ukitongoza asubuhi hakuna tatizo kwa zama hizi?
Haha..jogoo anagharamia nini wakati anapiga sekunde???..ha ha haha niwe rahisi hata jogoo anagharamia kupata mzigo sembuse weye
Kesho asubuhi saa 1 naanza na wewe!!mtongozo kuntu😀Mtongozo c ndio mwanzo wa mahusiano jamani! Na badae labda ndoa hadi familia.
Kumbe na ni msukuma!Waeee mtu na heshima zake, Tai shingoni wasukuma tunasema kapiga machomeko.... Ila ndoa anatongoza kiboya hivo
Kumbe na ni msukuma!Waeee mtu na heshima zake, Tai shingoni wasukuma tunasema kapiga machomeko.... Ila ndoa anatongoza kiboya hivo
Kama hujawahi kumtongoza na kama kukutana naye ni kwa nadra ni bora umtongoze upate jibu la uhakika!Kumbee!
Ndio, tunajiandaa na maandamano ya kwenda ikulu kupinga udhalilishaji tunaofanyiwa mitandaoniKumbe na ni msukuma!
Kumbe na ni msukuma!
Ha ha haaaNdio, tunajiandaa na maandamano ya kwenda ikulu kupinga udhalilishaji tunaofanyiwa mitandaoni
Tunaandaa maandamano ya Amani tumechokaHa ha haaaView attachment 317609