Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
- Thread starter
- #21
Hahaha, Ilumbuye Nyamizi, kwanza heri ya mwaka mpya 2012.
Kijana atakuwa mgeni huyu na haangalii hata mwandishi kajiunga lini na ana Post ngapi.
Nakumbuka kampeni ya kumuomba Dr. Slaa agombee Urais ilianza kama utani na wengi wakikejeli. Matokeo yake yameifanya Tanzania ibadilike kwa speed kubwa sana na kupata mwamko mkubwa wa kisiasa ambao haujawahi kutokea.
Kijana atakuwa mgeni huyu na haangalii hata mwandishi kajiunga lini na ana Post ngapi.
Nakumbuka kampeni ya kumuomba Dr. Slaa agombee Urais ilianza kama utani na wengi wakikejeli. Matokeo yake yameifanya Tanzania ibadilike kwa speed kubwa sana na kupata mwamko mkubwa wa kisiasa ambao haujawahi kutokea.
Hajui kama wewe ulikuwa ni mtu wa kwanza hapa JF kuweka signature yako ya kumuomba Dr.Slaa akubali kugombea Urais hata kabla ya CDM haijamteua?