ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,310
- 4,040
Hii inanifananisha na kibaka anayekwapua simu then anapewa adhabu ya kuchomwa moto mzimamzima na raia wenye hasira kali!Jamani hapa mimi naona wote wanamatatizo hapo maana hata magamba wameishaitwa sokwe na wengine mashoga so haya ndiyo matokeo yake hawana budi kuwa wapole,kama ulivyomsikia Lusinde mwenyewe anakiri kuwa anakichaa cha kuzaliwa sasa walipoanzisha majungu hawakujua kuwa kuna vichaa CCM wa namna hii??