Ni kauli za kisiasa tu jamani, jadilini yalio na faida katika taifa lenu.
Ni kauli za kisiasa tu jamani, jadilini yalio na faida katika taifa lenu.
Ni kauli za kisiasa tu jamani, jadilini yalio na faida katika taifa lenu.
JacksonMichael said:Ni kauli za kisiasa tu jamani, jadilini yalio na faida katika taifa lenu
Kama ndo kauli zenu za kisiasa, no wonder ndo maana nchi ipo hapa!!!!
hilo ni lazima walifanye maana ukisikiliza hayo mashambulizi utapata taabu kama alijua mahali pale kuna watu wa aina mbalimbali, ambao nao pia walihitaji kusikia lugha ya staha kutokana kwamba wengine walikuwa na familia zao. lakini hata ccm tunahitaji tusikie nini watasema juu ya lusinde, wakikaa kimya basi kuna haja ya kujiuliza zaidi juu yao.
Slaa, Lema, Mbowe, kumfungulia Lusinde Kesi ya Madai kwa udhalilishaji?
Tarehe 26.03.2012 katika eneo la Ngaresero, Usa River, Arusha, Lusinde, Mbunge wa Mtera, alitoa hotuba iliyolenga kuwadhalilisha baadhi ya viongozi wa chadema kwa hulka zao binafsi, inayolenga kuwachafua na kuwadhalilisha utu wao binafsi, na kauli ambazo kwa tafsiri ya wazi hazikuwa na tija kisiasa
Mh Lusinde alinukuliwa akisema
Lema (mbunge wa Arusha) .." alipata bwana magereza, "aliliwa", bwe*e, tunajua alifanywa nini"
Dk Slaa "alishindwa upadre na alifukuzwa kwa kutia mimba wanakwaya", "anatembea kama anajinyea", "ana mimba yetu" " anatishia kujamba wakati anaharisha" "kama dk slaa anataka fujo basi ianzie kwa mke wake" , "yule ngumi moja tu naua"
Mbowe – "ana uchungu wa mimba" "tumeshampiga mimba"
nassari – "(w)amepigwa mimba"
Kutokana na kauli hizi Lusinde yuko kwenye hatari ya kufunguliwa kesi ya madai na kufilisiwa kabisa.
Mtazamo ~ kauli hizi zinalenga kudhalilisha utu wa mtu binafsi na hazina mshiko wowote katika kukosoa sera za upande wa pili. Inawezekana kukosoa sera za wapinzani wako bila kuchafua utu, familia yake, au heshima yake mbele ya jamii. Kwa kweli hata kama kuna uhuru wa maoni, hii imepita kiasi. Kweli unajaribu kum -convince mpiga kura akupigie kura kwa kwa hoja ya "kupiga wanasiasa wenzako mimba" ? Sidhani kama hizi ndio sera za CCM. Lakini pia Lusinde alitoa kauli kuwa yeye "ni kichaa wa kuzaliwa" kwa hiyo inawezekana kweli hana akili timamu na CCM imeamua kumtoa kafara kichaa wao kwenda kulipuka na kutoa kauli ambazo yeye mwenyewe hajui madhara yake. Lakini pia ukifuatilia michango ya Lusinde Bungeti utagundua kuwa ukweli uwezo wake wa akili unatia shaka.
Baada ya uchaguzi kuna umuhimu wa huyu mtu kuchukuliwa hatua za kisheria angalau tujue uhuru wa speech unaazia na kuishia wapi, ili na sis wengine tukitaka kuropoka humu JF tujue madhara yake....
Video link //bofya hapa kusikiliza hotuba yake... Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru - YouTube